Na tusiishie hapo tu, yaani kunua baiskeli, tunaweza pia kutuma timu ya waangalizi wa JF ili kuona na kuchambua zaidi nini kifanyike kilicho chini ya uwezo wetu tufanyemaana kutoa ni moyo jamani . Yote yanawezekana kama tutajitolea.... Ahsante
..........................................
Amani yetu inatumiwa vibaya.