Mwalimu Hamisi ana moyo sana?


Kamuzu kampeni ya kumnunulia baiskeli mwalimu Hamisi imefikia wapi?
 
Tumaini alijitolea lakini hajui itamfikiaje

Ni rahisi sana! Habari ya Mwalimu Hamisi iliandikwa kwenye gazeti la Mwananchi. Kwa hiyo ni kuwasiliana tu na gazeti la Mwananchi na wao watasaidia pia kutoa mawazo yao ya jinsi ya kumfikishia Mwalimu Hamisi baiskeli yake, au la basi kumwambia Mwalimu Hamisi aje ofisi za Mwananchi kuchukua baiskeli yake!
 

that is sorted out at least
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…