Mwalimu commercial bank ilikuwa kiini macho au?

kichwabox

Senior Member
Feb 14, 2016
152
40
Nafasi zilizotangazwa na mwalimu commercial bank zilikuwa kiini macho? maana mpaka sasa kimya hakuna jipya!
 
FNB, Diamond Trust Bank, ‘Canara’,I &M wote hawa nawasubiria sijakata tamaa.
FNB zilikuwa uzushi, Diamond Trust wameshaita, I & M wameshaita.! Canara endelea kusubiri bado hawajaita wanakamilisha registration kwanza za bank.
 
Nadhani kampuni zibadilishe utaratibu, endapo mtu akikosa angalau ajulishwe kupitia hata sms, mail n.k.
Kwa stage ya kabla hujaitwa interview ni ngumu sana., ila ukiitwa interview mfano kutoka written kwenda oral au oral kwenda kuitwa kazini kampuni nyingi huwataarifu wote waliopata na waliokosa..!! Pia kazi za benki ni bahati nasibu sana Mkuu,
 
Back
Top Bottom