hehheheheh basi tena jaman dini imenikimbizaaWadau natafuta mwalim Mwenye degree anaesubiri ajira awe mke..
Sifa..
1. Awe mrefu
2. Msabato
3. Preferably msabato awe below 28
Mimi nakaa dar elim yangu degree , nafanya kazi serikalini na niko dar
Ubaguzi wa dini unakugharimuBado..sijapata
kubadili dini sio mchezoooutabadiri
safi sana mkuu nimeipenda hiyo awe msabato usije pikiwa nguruwe na sungura bureWadau natafuta mwalim Mwenye degree anaesubiri ajira awe mke..
Sifa..
1. Awe mrefu
2. Msabato
3. Preferably msabato awe below 28
Mimi nakaa dar elim yangu degree , nafanya kazi serikalini na niko dar
Atoto labda kasomea ualimu wa uchunaji pesaNgoja nije
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaaaqueen ni pm
Ndio wapi huko jamani? Hebu nitumiepo nauli nijeyaani atoto njoo pm
Atoto labda kasomea ualimu wa uchunaji pesa