S samakorwa Member Joined Jun 23, 2012 Posts 36 Reaction score 4 Aug 9, 2014 #1 Hivi kuna ajenda au siri nyuma ya pazia kuhusu mwaliko kwa marais wa africa?
kirumonjeta JF-Expert Member Joined Feb 9, 2008 Posts 3,966 Reaction score 1,968 Aug 9, 2014 #2 Nadhani wanarubuniwa wasiisaport Russia pamoja na kusaini muswada wa ile kitu iliyokatazwa na vitabu vya dini
Nadhani wanarubuniwa wasiisaport Russia pamoja na kusaini muswada wa ile kitu iliyokatazwa na vitabu vya dini