mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,282
Hah hah acha kutoa mapovu.Mwakyembe kawambia pelekeni hoja bungeni ya kuirudisha Richmond nyie mnasema mahakama,na mwenyewe si yupo kama mwanaume kweli aende mahakamani kwa kuchafuliwa jina na kamati ya Mwakyembe,ndio sio nyie mnamusemea ,mjiuzuru yupo hai na anadunda yeye ndie aende mahakamani na sio Mwakyembe au Nasari airudishe bungeni hoja ya Richmond ,acheni kuzunguka mbuyu na kutafuta mchawi wakati mchawi mne wenyewe.Chukulia hivi mtu akakuita wewe jambazi,kama sio jambazi si utaenda kushitaki kwa kuchafuliwa jina au utakaa kimya na yule anayekuita jambazi ndie ataenda kukushtaki mahakamani,yeye keshakuita jambazi sasa wewe ndie uende mahakamani kuthibisha kuwa wewe sio jambazi na sio aliyekuita jambazi.
Watanzania tumeishazoea mauongo yenu. mnatuona sisi mafala sana. Mlifungua mahakama ya mafisadi kwa mbwewe mpaka leo hakuna lolote lililofanyika juu ya mafisadi ambao mnashinda nao na kucheka nao.
Watanzania tungekuelewa kama uo uthibitisho ungeupeleka mahakama ya mafisadi.
Bunge unawezaje kulithibitishia kama sio kutupotezea muda kama mlivyofanya 2008? Watanzania mafisadi tunawajua tena na wewe ukiwemo.
Je, Ukishalithibitishia bunge kuwa lowassa ni fisadi, sisi Watanzania tutanufaika na nini? Pesa alizokwiba atarudisha? Bunge litamhukumu?
Acha utoto aseee. Peleka uthibitisho wako Mahakamani. Au mpelekee mtumbua majipu amtumbue kama anaubavu.