Mwakyembe na Magufuli wizara moja; Je kunani?

Njowepo, nadhani una ugonjwa wa Phobia. Dalili mojawapo ya phobia ni kuogopa kila jambo. Kwani majembe mawili hayawezi kufanya kazi pamoja? Au ulitaka wakae vilaza watupu. ACHA HIZO

Nchimbi na Mwakyembe nani bora!!
 
makandarasi fake wa kichina kazi wanayo, watanyang`anywa vifaa ka ile meli ya uvuvi!!!!!!!!!!!!
 
ccm wameona ili kuwanyamazisha wapigania ufisadi kutoka ccm ni kuwapa uwaziri/naibu tu....na wamefanya hivyo...kwa maana nyingine hutasikia tena mwakyembe au sitta akiwa agaist serikali yake......tumekwisha...............na pia ni njia moja wapo ya kuwatafutia njia ya kutosha kwani hawatakuwa na muda mwingi wa kuwatetea wananchi wao na hivyo baadaye wananchi wataanza kusema hutukusikia wakitutetea kwa hiyo hatuwataki......itakuwa furaha kwa lowasa na rostamu hawa jamaa wasiposikika ktk bunge hili............
 
 
magufuli anakandamizaga wanyonge,
Sikuona samaki alizokamata zilimsaidiaje mvuvi mdogo wa Tz.
Takwimu zake hazina tija.

we ulitaka awaite mmojammoj awagawie?uwe unafikiri kabla ya kuropoka ww.takwimu ni muhimu ktk jambo lolote ili kujua ulikuwa wapi,uo wapi na uelekee wap.sawa?
 
Uteulizi niliopenda ni hii wizara ya ujenzi. sas barabara zitajengwa tena na tutaona na hapa ndipo JK alipoweza kushituka na kukubali kuwa miaka mitano iliyopita barabara zilidorora kabisa na kwa maksi alipata 20%.
Lakini sasa kazi zitafanyika na tutaona mafanikio tena ya Road Fund
 

nakubaliana na ww hata mi wamenikera sana hawa jamaa kwa kumfanyia sita uzandiki huo.ila atang'ara tu
 

Ni watanzania wengi sana wanaamini kuwa Magufuli ni mmoja wa viongozi wachache Taifa limebaki nao wachapakazi kama wewe siyo mmoja wao siyo vibaya ukahifadhi msimamo wako.
 
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level University of Dar es Salaam B.Sc Ed. (Hons) Chem.&Maths 1985 1988 GRADUATE Universities of Dar es Salaam, TZ &Salford -U.K. MSc. (Chem) 1991 1994 MASTERS DEGREE University of Dar es Salaam. PhD (Chem) 2006 2009 PHD Mkwawa College of Education Diploma in Education (Sc.) Chem., Maths&Edu. 1981 1982 DIPLOMA Mkwawa High School A-Level Education 1979 1981 HIGH SCHOOL Lake Secondary School � Mwanza O-Level Education 1977 1978 SECONDARY Katoke Seminary Biharamulo, Kagera O-Level Education 1975 1977 SECONDARY Chato Primary School Primary Education 1967 1984 PRIMARY
 

magufuli hajawahi kuwa engineeer, ila akiitwa engineer anakaa kimya, tutamkumbuka kwa jinsi alivyokuwa anakula rushwa na jeshi kupitia SUMA JKT. watu Wana msifia sana kwa kuwa hawajui kuna nini nyuma ya pazia
 
Hapo JK amefanya sahihi... wala rushwa na wazembe ndani ya wizara hiyo kuanzia leo waanze kujirekebisha mapema ili barabara bora nyingi zijengwe bila kusahau viwanja vya ndege!
 
Kazi yake ilikuwa kuwezesha kukamatwe watuhumiwa, period. Yaliyoendelea na yanayoendelea kwenye hiyo kesi usimuhusishe, kuna polisi na mahakama ndio wanaopaswa kuulizwa hizo habari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…