sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 55
Ni dhahiri uteuzi wa Dr.(Phd) Harrison Mwakyembe kuhudumu kama waziri kamili katika serikali ya Kikwete ni pigo kwa Mbunge wa Monduli( waziri Mkuu aliyejiuzuru) Mbunge huyu alichukizwa sana kuhusishwa na sakata la mradi hewa wa uzalishaji umeme lililomg'oa katika nafasi yake ya Waziri Mkuu. Dr.(Phd) Mwakyembe alitenda haki kwa majukumu yake ya kamati ya bunge ingawa alionekana adui kwa kufichua uovu...leo hii Rais ameridhishwa na utendaji wake na uzalendo wake...pole Lowassa