Mwakyembe aelezea suala la mabehewa feki, ajibu yaliyoandikwa Nipashe

Mwakyembe sio mgeni kwenye mambo ya kashfa, ni janja-janja nyingine inayotumia elimu na siasa kupata opportunities, alinguruma sana wakati wa sakata la Richmond kumbe na yeye alikua na kampuni ya umeme, kila aendapo lazma hukumbana au hukumbwa na vurugu, complaints and the like... hii kitu siyo coincidence, KUNA KITU!!

Na siku zote huwa mjanja sana wa kusingizia UCHAGUZI ETC.

Kama sikosei, huyu jamaa pia alishawahi kutolewa kwenye magazeti over 10 years ago akiwa kabanwa na watemi aliwaingilia mboga yao

Anyway, sidhani kama atashinda ubunge mwaka huu... he has to be careful, maana akishindwa basi yatafumuka mengi na hataamini kitakachomkuta
 

Hapa patamu. Hebu tupe, japo kwa mukhtasari, ubadhirifu wake.
 
Mwakembe ni mnafiki sana huyu na sita kama mapacha wezi halafu wanajiita wazalendo uzuri unafiki haujifichi wacha mzimu wa unafiki wake umtafune akome kabisa
 
hujaelewa kitu

hizo kashfa zote hazijatolewa kwa wizara

ni za kwake binafsi

wizara hazijatuhumiwa hapo...ni mwakyembe...si sawa kutumia jina la wizara kujitetea binafsi

hoja za wapambe wa lowassa wanaodai damu ya mwakyembe kwa udi na uvumba zinaonekana! Hapa wanalazimisha richmond no.2 itokee. Kwa jinsi tunavyomjua mwakyembe, mtahangaika sana bila mafanikio. Bwana freeland hapo anasubiri mshiko wa mamvi, atamg'ang'ania mwakyembe wee bila hoja!
 
Friends of Lowassa wanazoza! Zoza mwanangu zoza, kuna mshiko!
 

Angemjibu rafiki yake wa zamani bwana Sita ndiyo anayemshughulikia.... Hayo yote anayosema mbona ni uwongo, hakuna kitu kama hicho kinachoendelea ndani ya TRL...
 
Ukisoma taarifa hii unagundua kama Tanzania kuna wababe...na huyu anayetuhumiwa ni mmoja wao maana anatumia wizara kama ndiye yeye mwenyewe maana taarifa hii haioneshi kuandikwa na mtu mwingine ila yeye mwenyewe...ndiyo maana anatumia maneno sasa hivi nimetoka badala ya msemaji wa wizara kusema kwa sasa hivi waziri ametoka ...kwa hiyo ni matumizi mabaya ya ofisi nakubaliana na mlalamikaji mmoja humu jamii forum. Tuzoea kujua mambo yetu na ya kazi yawe ya kazi kweli maana kama yupo msemaji wa wizara aachiwe kazi hiyo hata kama atapewa maelekezo toka kwa huyo aliyeamua kujisemea
 
nchi hii suala la uwajibikaji limekuwa gumu sana, mtu ndiye una kauli ya mwisho kwenye wizara unajivua vipi lawama mambo yanapoharibika? Mbona yakiwa mazuri mnajichukulia sifa nzuri za utendaji!!

Mshikaji soma vizuri hoja ya Mwakyembe! Hapa ni sheria ya manunuzi yenye vyombo vyake mahsusi vya uwajibikaji. Kama Mwakyembe angeingilia mchakato huo kama alivyofanya Lowassa kwenye Richmond basi angewajibika. Hapa ni hoja tu si hisia na kwikwi za inda na visasi.
 
 
Binafsi simkubali kabisa Mwakyembe kwa kuwa ni mnafiki
sana. Ni mwanaCCM mjanjamjanja, Opportunistic, mpenda sifa za haraka haraka nk.

KASORO ZA TAMKO LAKE:
1/Hoja inamgusa yeye lakini anatumia wizara Afrika Mashariki kujibu why? Tena anatoa tamko akiwa safarini(nje ya wizara) ikiashiria muhusika ni yeye mwenyewe na watendaji wa wizara hawajahusishwa kabisa. Haya ndio matumizi mabaya ya madaraka.

2/Mwakyembe anadai hahusiki na utaratibu wa Zabuni za TRL halafu hapo hapo anasema aliunda Tume kuchunguza zabuni hiyo!! Anakataa nini na anakubali nini?

3/Hata kama ni kweli labda alikuwa na dhamira njema ya kuunda tume, kwanini hakusimamisha kwanza viongozi wakuu wa TRL ili kupisha uchunguzi?
Mbona mpaka leo hiyo report ya tume haijaletwa hadharani?

4/Rais Kikwete ndio aliyemhamisha kutoka Uchukuzi kuja EAC, iweje Pinda ndio atolee ufafanuzi wa uteuzi wake? Pinda ana ubia na Kikwete kwenye kiti cha urais? Toka lini serikali au rais Kikwete amekuwa na utaratibu wa kutoa sababu binafsi za uteuzi wake?

5/Kwanini Kikwete amwone Mwakyembe anafaa sasa kuwa EAC na sio wakati ule 2010 anamteua? Anataka kusema Sitta alishindwa au angeshindwa kuimudu EAC ndio maana akapelekwa yeye?

Mimi naamini kabisa kwa hili Mwakyembe anahusika 100% na kuunda tume ilikuwa ni kunawa mikono ili asihusishwe au kulizika kinyemela hili suala. Otherwise utuambie nani ni mhusika mkuu wa hii zabuni au alitolewa
Pale ili wahusika walindwe.
 
Mwakembe ni mnafiki sana huyu na sita kama mapacha wezi halafu wanajiita wazalendo uzuri unafiki haujifichi wacha mzimu wa unafiki wake umtafune akome kabisa

Mwakyembe amechanganyikiwa Kyela hawataki hata kumuona. Hajafanya chochote Kyela mwisho wake kisiasa umefika
 
 
nenda kafyonze urojo huwezi jua umuhimu wa mwakyembe EAC mpaka kwanza ujue ame-specialize kwenye nini! hii topic ni kubwa sana kwako..
 
nenda kafyonze urojo huwezi jua umuhimu wa mwakyembe EAC mpaka kwanza ujue ame-specialize kwenye nini! hii topic ni kubwa sana kwako..

Geza Ulole usitake kujifanya unawajua wakati hujui chochote. Ni vizuri ukajibu hoja za msingi kuliko kubwabwaja hapa JF.

Mwakyembe ni Mwanasheria kitaaluma na alituma muda wake mwingi akiwa Lecturer. Nimemfahamu muda mrefu hata kabla hajaingia kwenye mikiki ya kisiasa kipindi hicho nikiwa naye UDSM wakati
anafundisha.

Dr.Mwakyembe hana role yoyote ya maana EAC kwa kuwa hakuna utaalamu wowote wa maana unaohitajika ili kuongoza wizara hiyo zaidi ya kutalii na kupiga blah blah tu. Ni moja wizara mpya, ndogo na changa sana. Ilipaswa kuwa ni Idara tu ndani ya wizara mama ya Mambo ya nje.
 
Last edited by a moderator:
Huko ndio alikotoa pesa za kununua kiwanja cha bilioni moja kule Bahari beach.

Adhabu ni hapa hapa duniani, kumwonea Lowassa yanamkuta na yeye.

Nimeambiwa hata kule kwao hawamtaki tena, ubunge bye bye.
 
so EPA negotiation na trade agreements zinahitaji zoba kushughulikia sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…