Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,487
- 913
Jioni hii wakati nasikiliza Bunge hili tata la Katiba kuna bidada mmoja amesema kitu makini sana, amesema Yeye Ni mwakilishi wa Kundi la wanavyuo, alichosema nadhani amefunga mjadala wa Kura ya SIRI AMA UWAZI.. Kama Bunge Lina watu wenye vichwa sio mazezeta nadhani wathamini Hoja ya bidada huyu 22years old Na mjadala Ufungwe... Kasema..
Yeye Kama mwakilishi wa Kundi kubwa la wanachuo Na kizalendo asingependa kulivuruga Kundi lake, ambalo miongoni mwao kuna wenye mtazamo wa Kura IWe ya Wazi wengine IWe ya Siri Kwenye maamuzi mbalimbali ya Kimjadala Bungeni. Endapo atapiga Kura ya wazi Na kuegemea upande mmoja wa hoja ni wazi atajiletea mtafaruku Kwa wajumbe wa Kundi lake wenye mtazamo tofauti na yeye lazima kuwe Na kutoelewana baada ya Bunge hili.
Ni wazi pia Kwamba HATA Wabunge/wajumbe wanaopendekeza Kura IWe ya wazi sidhani Kama waliowatuma wote wana mtazamo Sawa Na Yeye. Mfano Askofu mkuu Mtetemela Na Kundi kubwa la maaskofu wa CCT sidhani Kama maaskofu wote watakubaliana Kwenye Hoja moja hivyo akipiga Kura ya wazi Basi atakuwa amejitengenezea pengo La uadui Na ugomvi Ndani ya kundi lake.
Mie nadhani baadhi ya wabunge wamelewa uelewa Kwamba Kama Wewe ni Mbunge wa Jimbo flan Kwa TIketi ya CHAMA flani, WEWE si Mbunge wa jimbo Hilo Kwa wananchi wa CHAMA chako tu Bali ni Mbunge wa wananchi wote wa jimbo Lako Kwa vyama Na makabila Yao, Na baada ya uchaguzi umeibuka mshindi huendi kuwawakilisha wananchi wa chama chako pumbav wewe unakwenda kuwawakilisha wananchi wote wa jimbo Lako. Ni Ulevi Na uchizi kuamini kwamba Eti Kura yako ya wazi Kwenye maamuzi yako ndivyo ulivyotumwa Na wananchi wote wa Jimbo Lako.
Yeye Kama mwakilishi wa Kundi kubwa la wanachuo Na kizalendo asingependa kulivuruga Kundi lake, ambalo miongoni mwao kuna wenye mtazamo wa Kura IWe ya Wazi wengine IWe ya Siri Kwenye maamuzi mbalimbali ya Kimjadala Bungeni. Endapo atapiga Kura ya wazi Na kuegemea upande mmoja wa hoja ni wazi atajiletea mtafaruku Kwa wajumbe wa Kundi lake wenye mtazamo tofauti na yeye lazima kuwe Na kutoelewana baada ya Bunge hili.
Ni wazi pia Kwamba HATA Wabunge/wajumbe wanaopendekeza Kura IWe ya wazi sidhani Kama waliowatuma wote wana mtazamo Sawa Na Yeye. Mfano Askofu mkuu Mtetemela Na Kundi kubwa la maaskofu wa CCT sidhani Kama maaskofu wote watakubaliana Kwenye Hoja moja hivyo akipiga Kura ya wazi Basi atakuwa amejitengenezea pengo La uadui Na ugomvi Ndani ya kundi lake.
Mie nadhani baadhi ya wabunge wamelewa uelewa Kwamba Kama Wewe ni Mbunge wa Jimbo flan Kwa TIketi ya CHAMA flani, WEWE si Mbunge wa jimbo Hilo Kwa wananchi wa CHAMA chako tu Bali ni Mbunge wa wananchi wote wa jimbo Lako Kwa vyama Na makabila Yao, Na baada ya uchaguzi umeibuka mshindi huendi kuwawakilisha wananchi wa chama chako pumbav wewe unakwenda kuwawakilisha wananchi wote wa jimbo Lako. Ni Ulevi Na uchizi kuamini kwamba Eti Kura yako ya wazi Kwenye maamuzi yako ndivyo ulivyotumwa Na wananchi wote wa Jimbo Lako.