Mwakani tutahondomola sana

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,422
Reaction score
17,163
Kwa jinsi siasa za nchi hii sinavyoenda, mwakani patakua na njaa kuu, wanawake watapatikana kwa bei chee sana maana hata hela ya kula itawasumbua sanaaaaa.

Yani mwakani kwa njaa itakayokuepo ukishindwa kua na wanawake zaidi ya watano utakua mzembe sanaaaaa

Mwakani tutawabonda sanaaaaa

Yani katika nyanja hii ya kula tunda mwakani ni mwaka wa mavuno kwa madomo zege.
 
Safi ,watanzania wamezoea shida ,nilifika kigoma mtu anasifia tumbo lake kuwa ni zuri kwa kunywa maji ya dimbwi na mifugo, Mama samia mbele kwa mbele mpaka akili ziwakae sawa gademiiit
 
Safi ,watanzania wamezoea shida ,nilifika kigoma mtu anasifia tumbo lake kuwa ni zuri kwa kunywa maji ya dimbwi na mifugo, Mama samia mbele kwa mbele mpaka akili ziwakae sawa gademiiit
Yan ingekua Mimi ndio mama samia ningetawala kama mugabe had nichoke
 
Hii ni mada ya kipumbavu, kwahy njaa itakuwa kwa wanawake tuu na sio kwa wanaume?
Kwa akili hizi nazo ety nae anailalamikia ccm 😂
 
Wakati huo wewe utakuwa na uwezo wa kumiliki wanawake watano kwa kipato kipi mkuu?

Mwaka huu unamiliki wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…