Niliwahi kufika kule kunako-VUNWA gesi..........cha ajabu sana hata barabara ya kwenda huko ni utata.........nikauliza mbunge wa huku ni nani sikuamini nilipoambiwa ni Prof. Mwandosya..........yaani Prof anapita hii barabara MBOVU MBOVU kila wakati na rasilimali zote zile zilizopo kwenye jimbo lake.........