Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Mwakalebela aache vitisho, awaache tff wafanye kazi hata yeye alipokuwa tff alishatoa adhabu nyingi, ukiwatumia yanga kufanya maamuzi ipo siku na viongozi wa simba watafanya hivyohivyo
OVYO KABISA TIFUTIFU.Kuna lolote kakosea hapo? Yaani TFF wanakaa chini wanatunga kanuni kwa ajili ya kumlenga mtu mmoja, pathetic
Yaani kuna kanjanja wamejaa pale Karume.TFF ni ya hovyo sana, ndiyo maana mpira hauendelei. Ligi haiuziki
Washukuru Voda wamerudi, wangetia ngumu, hakuna mdhamini yeyote angekubali kuwepoteza hela katika mambo ya kipumbavu.
Sheria zinatungwa za ajabu ajabu
Tuwe wavumilivu hata waliopo mudawao utakwisha.Yaani kuna kanjanja wamejaa pale Karume.
Akili za TFF zimegotea hapo.Ila hiyo sheria ya mavazi nayo ina utata! Yaani vitu vidogo tu vinakuuzwa! Sasa kaptula ina tatizo gani! Mbona hata baadhi ya makocha wa ligi kuu akiwemo Ndairagije nimewaona mara nyingi wakivaa!
safi sana!Hatutakagi ujingaujinga sisi. Na hapa ndo utapojua nguvu na ukubwa Wa Yanga.
View attachment 1199973