MWAKA MPYA WA MASOMO YA ELIMU YA JUU

MWAKA MPYA WA MASOMO YA ELIMU YA JUU

Asovene

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
213
Reaction score
216
Kwanza niwapongeze sana vijana na watu wote mliyofanikiwa kudahiliwa katika kujiunga na masomo ya juu katika vyuo mbalimbali
Kwa mliyobahatika kupata mkopo niwashauri kuja na nguvu binafsi yaani jitaahidi kwenda na fedha za matumizi za kutosha. hali ya sasa si kama zamani lolote laweza kutokea.
 
udom hawajatoa second selection hadi leo, pia third selection
 
Back
Top Bottom