Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Wana JF kuna rafiki yangu ametoka hapa Arusha yuko Kenya kuhudhuria kongamano la wahasibu Afrika. Jamaa ananiambia ilikuwa Rais Mwai Kibaki afungue kongamano lao pale KICC mida ya saa tano. Wajumbe wameingia ukjmbini kuanzia saa tatu lakini Kibaki anaingia saa saba na nusu akiwa amechelewa kwa masaa matatu! Mkutano hio ni wa kimataifa watu wamemsubiri hadi wamechoka. Hivi viongozi wa Afrika ndivyo walivyo? Jamaa anasema wandaaji wamechanganyikiwa hawajui la kufanya?