Mwagane yeya !! Mwagane yeya !! Daaah

Mwagane yeya !! Mwagane yeya !! Daaah

Saitot

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
613
Reaction score
152
Huyu jamaa kafunga magoli mazuri sana , umeonyesha namna ambavyo mfungaji anapaswa kuwa , usiishie hapo ongeza bidii mpira wa tz haulipi kiivyo ongeza bidii angalia mbele!
 
Kweli jamaa ni bonge la player, nasikia ni teacher wa primary school.
 
Kweli jamaa ni bonge la player, nasikia ni teacher wa primary school.

Ni kweli kabisa jamaa ni mwlm!! Ila ana macho na goli , alishafunga goli la kichwa kama ya jana mechi na yanga mbeya,
 
Kweli jamaa ni bonge la player, nasikia ni teacher wa primary school.

Ni kweli ni Mwalimu........... kamfundisha mdogo wa mke wangu

Yaani jana ilikuwa ni furaha tupu kwa wasafwa wa hapa nyumbani kwangu (Mke wangu na Mdogo wake) na sio washabiki wa mpira ila kwa kuwa wasafwa wenzao tena jirani na mwalimu wao pia anacheza na wamemuona, full 90 minutes hawakubanduka kideoni


Tunahitaji Mbeya City kama 3 hivi au Nne kuiweka ligi yetu sawia
 
viva Mbeya city
kutoka ligi daraja la kwanza mpaka ubingwa ligi kuu
 
Subirini Wenye Mpira Wao ( Simba na Yanga ) Warudi Round Ya Pili wa Mzunguko ndiyo Mtajua Kuwa Soka la Nchi hii Limetawaliwa na Timu Hizo Kubwa Mbili na Huyo Mwagane Wenu Atapotezwa Vibaya Mno. Hivi Jiulizeni tu Hiyo Mbeya City Yenu Imefikia Rekodi Ya Timu Hizi: Pamba FC, Sigara SC, Nyota Nyekundu FC, Mecco FC, Reli Ya Morogoro, Kajumulo FC, Tanzania Stars FC, Moro United na Mkwara wa Oljoro FC ilipoingia Ligi Kuu Mwaka Juzi? Mbona Hatuhifazi Kumbukumbu ili Tuje na References za Kutosha? Hebu Niambie ktk Jamii Yetu Kuna Nani Ambaye Hayupo ktk Timu Moja Kubwa Kama Simba na Yanga? Mkae Mkijua Kuwa Simba na Yanga Ni Taasisi Kubwa na Zina Ushawishi Mkubwa Mno ktk Jamii Yetu ndani na Mpaka Nje Ya Tanzania na Nakumbuka Maoni Ya Super Sports Senior Presenter and Soccer Analyst Mr. Thomas Mlambo aliposema Kuwa Afrika Kuna Derbies Nyingi Akatolea Mfano wa Kwao Afrika Ya Kusini Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, Asante Kotoko na Hearts of Oak Nchini Ghana, Zamalek na Alhahly Nchini Misri, Darling Club Motema Pembe na Toup Puisant Mazembe Nchini DRC, APR na Rayon Sports Nchini Rwanda, SC Villa na Express Nchini Uganda na Gor Mahia na FC Leopards ILA DAR ES SALAAM DERBY Ni Kiboko na Msiojua Zikichezwa Mechi na Watani wa Jadi Tanzania hata Nchi za Wenzetu Husisimuka na Kufuatilia MTANANGE Huo. Simba na Yanga Ni Zaidi Ya Ufikirivyo na Hiyo Mbeya City Yako hebu Kaifananishe na ------ ( MAKALIO ) FC Ya Huko Kwenu UNYARUGUSUNI.
 
Subirini Wenye Mpira Wao ( Simba na Yanga ) Warudi Round Ya Pili wa Mzunguko ndiyo Mtajua Kuwa Soka la Nchi hii Limetawaliwa na Timu Hizo Kubwa Mbili na Huyo Mwagane Wenu Atapotezwa Vibaya Mno. Hivi Jiulizeni tu Hiyo Mbeya City Yenu Imefikia Rekodi Ya Timu Hizi: Pamba FC, Sigara SC, Nyota Nyekundu FC, Mecco FC, Reli Ya Morogoro, Kajumulo FC, Tanzania Stars FC, Moro United na Mkwara wa Oljoro FC ilipoingia Ligi Kuu Mwaka Juzi? Mbona Hatuhifazi Kumbukumbu ili Tuje na References za Kutosha? Hebu Niambie ktk Jamii Yetu Kuna Nani Ambaye Hayupo ktk Timu Moja Kubwa Kama Simba na Yanga? Mkae Mkijua Kuwa Simba na Yanga Ni Taasisi Kubwa na Zina Ushawishi Mkubwa Mno ktk Jamii Yetu ndani na Mpaka Nje Ya Tanzania na Nakumbuka Maoni Ya Super Sports Senior Presenter and Soccer Analyst Mr. Thomas Mlambo aliposema Kuwa Afrika Kuna Derbies Nyingi Akatolea Mfano wa Kwao Afrika Ya Kusini Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, Asante Kotoko na Hearts of Oak Nchini Ghana, Zamalek na Alhahly Nchini Misri, Darling Club Motema Pembe na Toup Puisant Mazembe Nchini DRC, APR na Rayon Sports Nchini Rwanda, SC Villa na Express Nchini Uganda na Gor Mahia na FC Leopards ILA DAR ES SALAAM DERBY Ni Kiboko na Msiojua Zikichezwa Mechi na Watani wa Jadi Tanzania hata Nchi za Wenzetu Husisimuka na Kufuatilia MTANANGE Huo. Simba na Yanga Ni Zaidi Ya Ufikirivyo na Hiyo Mbeya City Yako hebu Kaifananishe na ------ ( MAKALIO ) FC Ya Huko Kwenu UNYARUGUSUNI.


Gentamycine umekuwa na mengi kama jina la dawa uliloandika ,, mi nimejaribu tu kusema na kuweka wazi kile alichofanya mwagane yeya na kumpa tu ushauri , na pia kumpongeza , hakatazwi kwenda yanga wala simba kwa maslai yake .
 
Kafunga magoli mazuri na ana mwili mzuri. Jamaa ana miaka mingapi?
 
Subirini Wenye Mpira Wao ( Simba na Yanga ) Warudi Round Ya Pili wa Mzunguko ndiyo Mtajua Kuwa Soka la Nchi hii Limetawaliwa na Timu Hizo Kubwa Mbili na Huyo Mwagane Wenu Atapotezwa Vibaya Mno. Hivi Jiulizeni tu Hiyo Mbeya City Yenu Imefikia Rekodi Ya Timu Hizi: Pamba FC, Sigara SC, Nyota Nyekundu FC, Mecco FC, Reli Ya Morogoro, Kajumulo FC, Tanzania Stars FC, Moro United na Mkwara wa Oljoro FC ilipoingia Ligi Kuu Mwaka Juzi? Mbona Hatuhifazi Kumbukumbu ili Tuje na References za Kutosha? Hebu Niambie ktk Jamii Yetu Kuna Nani Ambaye Hayupo ktk Timu Moja Kubwa Kama Simba na Yanga? Mkae Mkijua Kuwa Simba na Yanga Ni Taasisi Kubwa na Zina Ushawishi Mkubwa Mno ktk Jamii Yetu ndani na Mpaka Nje Ya Tanzania na Nakumbuka Maoni Ya Super Sports Senior Presenter and Soccer Analyst Mr. Thomas Mlambo aliposema Kuwa Afrika Kuna Derbies Nyingi Akatolea Mfano wa Kwao Afrika Ya Kusini Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, Asante Kotoko na Hearts of Oak Nchini Ghana, Zamalek na Alhahly Nchini Misri, Darling Club Motema Pembe na Toup Puisant Mazembe Nchini DRC, APR na Rayon Sports Nchini Rwanda, SC Villa na Express Nchini Uganda na Gor Mahia na FC Leopards ILA DAR ES SALAAM DERBY Ni Kiboko na Msiojua Zikichezwa Mechi na Watani wa Jadi Tanzania hata Nchi za Wenzetu Husisimuka na Kufuatilia MTANANGE Huo. Simba na Yanga Ni Zaidi Ya Ufikirivyo na Hiyo Mbeya City Yako hebu Kaifananishe na ------ ( MAKALIO ) FC Ya Huko Kwenu UNYARUGUSUNI.
Bado wewe upo zama za Giza na ni Mtumwa wa Historia
 
Wewe bila Historia Ungefika hapo Ulipo? Hivi Unajua Umuhimu wa Historia ktk Kufanya Analysis na Evaluation? Watu Wote Wenye Akili Kubwa na Za Juu Sana Huzingatia Mno Historia Ya Jambo au Kitu Fulani ktk Kutaka Kupiga Hatua Ya Kwenda Mbele. Nina Mashaka na UPEO WAKO WA KUFIKIRI! Division Five System bado haijawa Implemented Upo Hivyo Je Ikianza Utakuwaje? Mimi Mtumwa wa Historia Je Wewe ni Mtumwa wa Nini? UMBUMBUMBU AU?
 
Subirini Wenye Mpira Wao ( Simba na Yanga ) Warudi Round Ya Pili wa Mzunguko ndiyo Mtajua Kuwa Soka la Nchi hii Limetawaliwa na Timu Hizo Kubwa Mbili na Huyo Mwagane Wenu Atapotezwa Vibaya Mno. Hivi Jiulizeni tu Hiyo Mbeya City Yenu Imefikia Rekodi Ya Timu Hizi: Pamba FC, Sigara SC, Nyota Nyekundu FC, Mecco FC, Reli Ya Morogoro, Kajumulo FC, Tanzania Stars FC, Moro United na Mkwara wa Oljoro FC ilipoingia Ligi Kuu Mwaka Juzi? Mbona Hatuhifazi Kumbukumbu ili Tuje na References za Kutosha? Hebu Niambie ktk Jamii Yetu Kuna Nani Ambaye Hayupo ktk Timu Moja Kubwa Kama Simba na Yanga? Mkae Mkijua Kuwa Simba na Yanga Ni Taasisi Kubwa na Zina Ushawishi Mkubwa Mno ktk Jamii Yetu ndani na Mpaka Nje Ya Tanzania na Nakumbuka Maoni Ya Super Sports Senior Presenter and Soccer Analyst Mr. Thomas Mlambo aliposema Kuwa Afrika Kuna Derbies Nyingi Akatolea Mfano wa Kwao Afrika Ya Kusini Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, Asante Kotoko na Hearts of Oak Nchini Ghana, Zamalek na Alhahly Nchini Misri, Darling Club Motema Pembe na Toup Puisant Mazembe Nchini DRC, APR na Rayon Sports Nchini Rwanda, SC Villa na Express Nchini Uganda na Gor Mahia na FC Leopards ILA DAR ES SALAAM DERBY Ni Kiboko na Msiojua Zikichezwa Mechi na Watani wa Jadi Tanzania hata Nchi za Wenzetu Husisimuka na Kufuatilia MTANANGE Huo. Simba na Yanga Ni Zaidi Ya Ufikirivyo na Hiyo Mbeya City Yako hebu Kaifananishe na ------ ( MAKALIO ) FC Ya Huko Kwenu UNYARUGUSUNI.

mwe.h.u ww
 
Gentamycine umekuwa na mengi kama jina la dawa uliloandika ,, mi nimejaribu tu kusema na kuweka wazi kile alichofanya mwagane yeya na kumpa tu ushauri , na pia kumpongeza , hakatazwi kwenda yanga wala simba kwa maslai yake .

Achana nae huyo, hajui anachosema.
 
Mwagane Yeya. Mwabwomba waane! Piga mzigo. Usibweteke. Huo ni mwanzo tu. Nidhamu na kumheshimu Mwl.. Mwambusi ni jambo la msingi sana.
 
kanisumbulia kipa wangu mpaka basi huyu dogo khaaa...
 
Subirini Wenye Mpira Wao ( Simba na Yanga ) Warudi Round Ya Pili wa Mzunguko ndiyo Mtajua Kuwa Soka la Nchi hii Limetawaliwa na Timu Hizo Kubwa Mbili na Huyo Mwagane Wenu Atapotezwa Vibaya Mno. Hivi Jiulizeni tu Hiyo Mbeya City Yenu Imefikia Rekodi Ya Timu Hizi: Pamba FC, Sigara SC, Nyota Nyekundu FC, Mecco FC, Reli Ya Morogoro, Kajumulo FC, Tanzania Stars FC, Moro United na Mkwara wa Oljoro FC ilipoingia Ligi Kuu Mwaka Juzi? Mbona Hatuhifazi Kumbukumbu ili Tuje na References za Kutosha? Hebu Niambie ktk Jamii Yetu Kuna Nani Ambaye Hayupo ktk Timu Moja Kubwa Kama Simba na Yanga? Mkae Mkijua Kuwa Simba na Yanga Ni Taasisi Kubwa na Zina Ushawishi Mkubwa Mno ktk Jamii Yetu ndani na Mpaka Nje Ya Tanzania na Nakumbuka Maoni Ya Super Sports Senior Presenter and Soccer Analyst Mr. Thomas Mlambo aliposema Kuwa Afrika Kuna Derbies Nyingi Akatolea Mfano wa Kwao Afrika Ya Kusini Kaizer Chiefs na Orlando Pirates, Asante Kotoko na Hearts of Oak Nchini Ghana, Zamalek na Alhahly Nchini Misri, Darling Club Motema Pembe na Toup Puisant Mazembe Nchini DRC, APR na Rayon Sports Nchini Rwanda, SC Villa na Express Nchini Uganda na Gor Mahia na FC Leopards ILA DAR ES SALAAM DERBY Ni Kiboko na Msiojua Zikichezwa Mechi na Watani wa Jadi Tanzania hata Nchi za Wenzetu Husisimuka na Kufuatilia MTANANGE Huo. Simba na Yanga Ni Zaidi Ya Ufikirivyo na Hiyo Mbeya City Yako hebu Kaifananishe na ------ ( MAKALIO ) FC Ya Huko Kwenu UNYARUGUSUNI.

kwanza nikwambie Thomas Mlambo hayupo super sport tena,kama ulikuwa hujui basi ndio ujue na kama unajua basi rekebisha lugja yako

hizo timu ulizotaja hapo juu mbona hutuambii zilifanya nii zaidi unaishia kusema unakumbuka unakumbuka...lete facts.

Hiyo Mbeya city unayoiponda wewe imeingia lini ligi kuu?unalinganishaje pafomnsi yake na uzoefu wake katika ligi?

Kwavile Dsm derby ndio inapendwa na watu nasi kusiwepo na derby nyingine tuemdelee kusubiria ya Yanga na simba?mbona wewe unaoneka ni muoga sana wa ushindani?ndio nyinyi mnaoshi kuhonga ili mpate matokeo mnayoyataka.

Hao unaowaita wenye ligi nani aliwapa hati miliki ya ligi hii?kama wameshindwa kupafomu raundi hii ya kwanza wakija wamejipanga raundi ya pili wakatoa ushindani sisi tunafurahia kwani ndio utamu wa soka unapokuja sio kama wewe ambaye unanuna ukipata ushindani.

Inaoneka unachuki sana na Mbeya city mpaka unaitusi,sasa kwa taarifa yako Mbeya city itaendelea kuwepo na tutaispoti tu,ukiona unakereka kashabikie netball.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom