Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,355
- 15,082
Mwafrika wa kwanza (mweusi) ajulikanaye kama Bw.Tidjane Thiam ambaye ni mzaliwa wa wa nchi ya Ivory Coast huko Afrika ya Magharibi ameteuliwa kuwa Mkuu (CEO) wa Credit Suisse Group ambayo ni moja ya Financial Institutions kubwa Duniani yenye makao yake nchini Uswisi.
Huyu Jamaa ni bosi wa watu kama 46 000 hivi waliojiliwa na Credit Suisse Duniani.
Huyu Jamaa ni bosi wa watu kama 46 000 hivi waliojiliwa na Credit Suisse Duniani.