Mwabukusi yuko Sahihi, mfano Tundu Lissu anakuja kufanya Mkutano analipwa Posho kisha anarudi Ulaya, Katiba Mpya haimuhusu sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,992
142,010
Wengi wamempinga Wakili msomi Mwabukusi kwa kauli yake ya Ukweli kabisa kwamba vyama vya Upinzani haviwezi kuleta Katiba mpya.

Mfano Mzuri ni Kinara wa Katiba Mpya upande wa CHADEMA Tundu Lissu ambaye Hata haijulikani anaishi Tanzania, Ubelgiji au Marekani.

Ukimtegemea Lissu Kuongoza harakati za Katiba mpya ni kujidanganya tu kwa sababu Mazingira Yako wazi kabisa.

Bora Hata Mdude wa Hapa Hapa

Nawatakia Dominica Njema 😀
 
Wengi wamempinga Wakili msomi Mwabukusi kwa kauli yake ya Ukweli kabisa kwamba vyama vya Upinzani haviwezi kuleta Katiba mpya

Mfano Mzuri ni Kinara wa Katiba Mpya upande wa Chadema mh Tundu Lisu ambaye Hata haijulikani anaishi Tanzania, Ubelgiji au Marekani

Ukimtegemea Lisu Kuongoza harakati za Katiba mpya ni kujidanganya tu kwa sababu Mazingira Yako wazi kabisa

Bora Hata Mdude wa Hapa Hapa

Nawatakia Dominica Njema 😀
Ni ujinga kutegemea wenzako wadai katiba mpya huku wewe ukiwa mtazamaji ukichunguza nani yupo nani hayupo, kila mwenye akili ya kujitambua atadai yeye katiba mpya na si kusubiri wamdaie wenzake.
 
Wengi wamempinga Wakili msomi Mwabukusi kwa kauli yake ya Ukweli kabisa kwamba vyama vya Upinzani haviwezi kuleta Katiba mpya.

Mfano Mzuri ni Kinara wa Katiba Mpya upande wa CHADEMA Tundu Lissu ambaye Hata haijulikani anaishi Tanzania, Ubelgiji au Marekani.

Ukimtegemea Lissu Kuongoza harakati za Katiba mpya ni kujidanganya tu kwa sababu Mazingira Yako wazi kabisa.

Bora Hata Mdude wa Hapa Hapa

Nawatakia Dominica Njema
Tunakubaliana kuwa suala la Katiba ni la watanzania wote sasa mbona lawama kwa Chadema tu,hao wanaoilaumu Chadema wao watoa mchango gani kwenye upatikanaji wa Katiba mpya?
 
Kwani Tundu Lissu na wenzake wanapotembelea mikoani ni lazima wakae katika hoteli za kitalii za nyota tano?
 
Back
Top Bottom