Mvuto unaoweza kukutesa

Mkuu watie vidole tu..hiyo problm ni ngumu kumeza kama viagra pia vimefeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asubuhi uume unasimama?
Mara ya mwisho uume kusimama ni lini?
Ulishawahi kukamua demu kabla tangu uzaliwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakua na demu before ila nikiwa na age ya 23 ndo Kwa mara ya kwanza nalala na demu hapo ghafla ikaanza kugoma nikiwa na demu haisimama nikiwa mwenye inasimama tena kwa nguvu
 
Ha ha umemfurahisha saana mtu angu any way ila sio rahisi hivo kukesha na mtoto wa kike huku una mfinger print wakati mashine ipo inaumiza kinyama yaan
Kwakweli hilo ni zito mno..just I cant imagine if it was me having such probem..mkuu nakushauri ungeenda dr specialist kwa matatizo haya nafikiri huko utapata mwangaza kuhusiana na tatizo lako..kila la heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran... Ila ndugu usiombe mtihani huu ukukute aisey unauma saana maana hapa bongo hamna wataalam wa mambo haya kwa kadiri nilivyoulizia
dah pole sana jaribu kufanya mazoezi yanaitwa pelvis tafuta YouTube namna wavyofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…