Natumaini hamjambo wale wagonjwa Mungu awaponye kwa uwezo wake, naandika hapa kwa uchungu jinsi nnavoona ndoa nyingi zinavyoteketea Hususan kwa vijana aged 25 to 40 niseme tu hili nalo ni janga kama majanga mengine
Ninaavyoona mimi sababu hasa ni kutokuwa wavumilivu ni kweli kunammbo yanaboa to the maximum lakini bado yanasameheka na kusahaulika.
Jifunze kusamehe na kusahau utakuwa na maisha marefu, usipende kushughulishwa na mke/mume hadi ukasahau Kuna mambo ya msingi kuliko mume/mke
Mume/mke mlikutana wakubwa kila mtu na mambo yake kwann akutese hadi akudhuru nafsi yako, pia kuachana sio suluhisho maana hata huko utakakoenda utakutana na wengine labda zaidi ya huyo uliyemuacha
Unakuta mtu tayar anafamilia lakini kisa kaona message ya mapenzi utaskia nenda kwenu sikutaki tena kumbuka kufanya hivyo maana yake ni kumpa uhuru akafanye anavyotaka kitu ambacho sio suluhu
Tambua athari ambazo zitajitokeza Hususan kwa watoto ni mke au mume nani leo atakuwa tayar kubeba mzigo wa mwenzake? Asume utampata japo kwa tochi lakin kisaikolojia unafkiri watoto watkuaje kuona wanalelewa na baba/mama asie wake? Ilihali wa kwao yupo hai? Eti kisa umekuta sms ya mapenzi. Kwamtazamo wangu mmi hata ungemfumania kabisa kaa chini tumia hata mwezi kutafakar kilichotokea utapata maamuzi sahihi ukizingatia faida na hasara za hicho unachotaka kufanya hata ukijaribu kuchukua mifano Kwa watu unaowajua na madhara waliyopata baada ya kuachana
Bye the way mlikutana wote ni wakubwa na kila mmoja ashafanya mambo yake na wengine wewe unataka kujiua bure kwann? Utakasirika mwishoni unapata maradhi unakufa wewe wenzio wanajilia kiulaiini
Tulinde ndoa zetu kwa faida ya vizazi vyetu.
Ninaavyoona mimi sababu hasa ni kutokuwa wavumilivu ni kweli kunammbo yanaboa to the maximum lakini bado yanasameheka na kusahaulika.
Jifunze kusamehe na kusahau utakuwa na maisha marefu, usipende kushughulishwa na mke/mume hadi ukasahau Kuna mambo ya msingi kuliko mume/mke
Mume/mke mlikutana wakubwa kila mtu na mambo yake kwann akutese hadi akudhuru nafsi yako, pia kuachana sio suluhisho maana hata huko utakakoenda utakutana na wengine labda zaidi ya huyo uliyemuacha
Unakuta mtu tayar anafamilia lakini kisa kaona message ya mapenzi utaskia nenda kwenu sikutaki tena kumbuka kufanya hivyo maana yake ni kumpa uhuru akafanye anavyotaka kitu ambacho sio suluhu
Tambua athari ambazo zitajitokeza Hususan kwa watoto ni mke au mume nani leo atakuwa tayar kubeba mzigo wa mwenzake? Asume utampata japo kwa tochi lakin kisaikolojia unafkiri watoto watkuaje kuona wanalelewa na baba/mama asie wake? Ilihali wa kwao yupo hai? Eti kisa umekuta sms ya mapenzi. Kwamtazamo wangu mmi hata ungemfumania kabisa kaa chini tumia hata mwezi kutafakar kilichotokea utapata maamuzi sahihi ukizingatia faida na hasara za hicho unachotaka kufanya hata ukijaribu kuchukua mifano Kwa watu unaowajua na madhara waliyopata baada ya kuachana
Bye the way mlikutana wote ni wakubwa na kila mmoja ashafanya mambo yake na wengine wewe unataka kujiua bure kwann? Utakasirika mwishoni unapata maradhi unakufa wewe wenzio wanajilia kiulaiini
Tulinde ndoa zetu kwa faida ya vizazi vyetu.