Mvua tafadhali usinyeshe tena

Mvua tafadhali usinyeshe tena

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Bwawa lililopo Upanga linatisha. Waenda kwa miguu wanateseka. Magari madogo hayapiti.Hali inatisha.

TAFADHALI MVUA,nyesha kwingine na si Dar.
 
Acha Mvua inyeshe wewe,unataka kutuambia sisi wengine tusifanye shughuli zetu zinazohusiana na Mvua kisa wewe hicho ki-Vitz chako hakipiti kwenye bwawa la maji,na kwanini usinunue Prado?
 
Mafisadi yamejaa sana Dar es salaam, acha mvua inyeshe. Natamani mafuriko yafike mpaka ikulu. Rudini majimboni mwenu.
 
Mvua na jua bora nini?

Jua lina jasho, muwasho, vikwapa, ngozi inakuwa haina mvuto, cancer, uchovu, linakausha mabwawa, linaua mazao etc

Mvua ina baridi, uvundo, magonjwa, vifo, kuharibika miundo mbinu, linakata umeme, kuharibika mazao pia, na kufanya watu wasiamke asubuhi kwenda kazini.

Mvua na jua bora nini?
 
Cheki na waupako alisema anaweza kuizuia. Ha ha ha ha :loco:
 
mvua njooo jana mm nilizibaa juu ya nyumba nataka nione inavuja au laaaa
 
Mvua na jua bora nini?

Jua lina jasho, muwasho, vikwapa, ngozi inakuwa haina mvuto, cancer, uchovu, linakausha mabwawa, linaua mazao etc

Mvua ina baridi, uvundo, magonjwa, vifo, kuharibika miundo mbinu, linakata umeme, kuharibika mazao pia, na kufanya watu wasiamke asubuhi kwenda kazini.

Mvua na jua bora nini?

Jay more, more technics ,rapper anaejua sana ila ndo hivyo tena.
 
Daah kama leo huyu jamaa aliyekuwa zamu ya kufungulia mvua kajisahau kidogo maana koki imemwaga maji balaa kabisa
 
Na hii mvua usiombe paa lako liwe kama chujio.
 
Back
Top Bottom