Mvua pande za wilaya ya Tunduru - Ruvuma

Mvua pande za wilaya ya Tunduru - Ruvuma

FALSAFA

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
293
Reaction score
58
katika wilaya tundur mkowa RUVUMA.mvua yanyesha kwa sana leo tareeh 8/12/2014.vp kuhusiana na pand zenu wanaMJENGO wa JF.
 
Tunduru ni kubwa sana...hiyo mvua inashesha pande zipi hapo wilayani. Ni mvua ya kawaida au ya mawe?
 
mmmmh!! hizi mvua now ni nchi nzima nini!!!
 
Jana na leo mchana imenyesha lakini ni yakawaida sana,haina madhara

showme uko pand hiz hiz nin.mmh mana mvua ya jana ulikuwepo na leo upo kulkon.au ulicmuliwa?
 
MBS napafahamu mitaa yote hiyo kwangu,sipo mbali nawe.

umexoma sekondary gan? apapa 2ndur?mwaka gan ulimalza?kwa mm nimexoma FRANK WESTON SEKONDARY SCHOOL, I HAVE GRADUATED-2012 FORM FOUR.
 
Mi nakuja xmas huko na gari ndogo je nikitokq mangaka ntaweza pita? Vp khali ya barabara
 
umexoma sekondary gan?
apapa 2ndur?mwaka gan ulimalza?kwa mm nimexoma FRANK WESTON SEKONDARY
SCHOOL, I HAVE GRADUATED-2012 FORM FOUR.

Aisee sijasoma hapa na nimemaliza shule miaka ya 90huko, daah FALSAFA mdogo wangu nitakutafuta,nipo hapa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom