Chuno, Kianga , shangani, yote imejaa maji mvua ni kubwa saana yaani tangu saa saba usiku mpaka sasa saa nane mchana ni mvua tuu ,baharini kote ni mvua tu sehemu za miseti ni hatari mnoo ,maji ktk baadhi ya maeneo kama mbezi, magomeni yameanza kuingia majumbani