Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,220
- 138,651
Ahhh wapi, mbona anaeleweka tu. Pdidy mkongwe, mwaka wa saba huu bado anakimbiza.
Tahadhari: Mtu mwingine usiandike kama Pdidy, hautaeleweka............Hiyo ni copyright ya Pdidy tu.
Huyu jamaa kiboko, kasahihishwa kuhusu lugha ndo kwaanza kakoroga
kuwiwa ndo nini pdidy
Lazima wasepe Pdidy, hawataki noti mfukoni zilowe!AISEE NIMEAMINI MUNGU ANASIKIa BANA
UNAJUA ASBH NILIPITA DARAJANI KAWE..Njia ya lugalo kwenda tegeta wamemwagika kama wako shule ndugu zetu
nikarudi kulala kidogo nikamwomba Mungu embu shusha mvua hata nisiwaone kabisa nianze mizunguko namii
navyoongea naandika huku vyoo vikilamba maji kwa mbaaliiii...ukihisi wanakusumbua hawa traffic we waombee mvua awaki hatasikumoja hatakama awajakusanya salio lao wataanza tu
Kudaiwa, ila sijui ka alikuwa na maana hiyo!