Mvua ikinyesha trafiki wanakimbia

Ahhh wapi, mbona anaeleweka tu. Pdidy mkongwe, mwaka wa saba huu bado anakimbiza.

Tahadhari: Mtu mwingine usiandike kama Pdidy, hautaeleweka............Hiyo ni copyright ya Pdidy tu.

duuh,hii ni kama rap katuni na Juma Nature?ndio identity yake
 
Last edited by a moderator:
pale hatari maana wanakaa trafik kama 10 na askari wa tigo na bunduki yaani ni balaaa hapo hii njaa itawauwa jamaaa hao
 
daa mimi napita pande hizo now sijui nitawakuta...!?
hicho ni kindegeleko tunaoelewa wachache ha ha ha ha haaaaa...
 
Lazima wasepe Pdidy, hawataki noti mfukoni zilowe!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…