MV Kigamboni: Marufuku ya Kuvuka na Abiria

Marumeso

JF-Expert Member
Oct 3, 2009
1,410
1,313
Unapovuka pale kivukoni na kigari chako, wasimamizi wa vivuko wanakataza magari kuvuka yakiwa na abiria ndani.

Hatua hii inaleta usumbufu sana kwa wahusika mara wanapofika hapo na usafiri na kuanza kutenganishwa.

Hivi katika karne hii hakuna njia nyingine inayoweza kufanywa watu wakavuka lwa usalama badala ya kukikimbilia njia rahisi ya kuwashusha watu kwenye usafiri na unakuta wengine ni wagonjwa.
 
aiseeeee baba yangu kama unataka kuvuka na jamaa zako mkiwa ndani ya gari si mpite darajani huko hamshuswi
 
1.Usalama wako unazingatiwa. Kuna wakati tumeshuhudia gari zikizama pale. Nguvu ya kumuokoa mhanga mmoja ni ndogo kuliko wengi.
2.Kuongeza mapato. Mkishuka wengine mkapita kwenye geti la abiria pale, mapato yanapanda. Kuliko mngejifungia kwenye gari halafu wote mkavuka kwa gharama za gari.
3.Angalau mara mojamoja tupigane vikumbo. Wewe kutwa nzima hakuna anaekugusa kwakuwa upo kwenye gari lako, full kiyoyozi, hata ukiambiwa dar joto familia nzima mnashangaa. Hebu tokeni huko mjichanganye kidogo
4. Pale ndio kituo cha kupatia namba za watoto wazuri ambao angalau utakuwa unauhakika kweli baba yake ana gari. Kwasie watoto wa uswazi huwa tunajivukisha hata mara kumi tukizisaka namba.
5.Wote tubugie harufu ya shombo, we nani ubaki garini. Tena ikibidi na madereva wazuiwe kufunga vioo wakibaki.
 
Unapovuka pale kivukoni na kigari chako, wasimamizi wa vivuko wanakataza magari kuvuka yakiwa na abiria ndani.

Hatua hii inaleta usumbufu sana kwa wahusika mara wanapofika hapo na usafiri na kuanza kutenganishwa.

Hivi katika karne hii hakuna njia nyingine inayoweza kufanywa watu wakavuka lwa usalama badala ya kukikimbilia njia rahisi ya kuwashusha watu kwenye usafiri na unakuta wengine ni wagonjwa.

We ng'ang'ania ndani ya gari ili likizama ufie humohumo
 
Tupunguze ujuaji. Meli yenyewe ikizama, watu wote huondolewa kwenye cabin. Unapokaa ndani ya gari, pakitokea emergency wewe unaongeza ugumu wa uokozi.

Shuka mwenye toroli lako au nenda darajani, kule hakuna kushuka.
Mkuu. Huo ugumu wa kumwokoa mtu unatoka wapi. Kwani vioo vya gari si huwa vinashushwa?
 
Mapato, mapato... Hata utaratibu wa kikuda wa kulipia Daraja la Dr. Dau ni ili kulinda mapato ya kivuko na wakati huo huo kujichumia mengine.
 
aiseeeee baba yangu kama unataka kuvuka na jamaa zako mkiwa ndani ya gari si mpite darajani huko hamshuswi
mkuu ni kweli kuna uo uchaguz wa daraja. apa tunaelimishana mantiki ya hili katazo.
 
1.Usalama wako unazingatiwa. Kuna wakati tumeshuhudia gari zikizama pale. Nguvu ya kumuokoa mhanga mmoja ni ndogo kuliko wengi.
2.Kuongeza mapato. Mkishuka wengine mkapita kwenye geti la abiria pale, mapato yanapanda. Kuliko mngejifungia kwenye gari halafu wote mkavuka kwa gharama za gari.
3.Angalau mara mojamoja tupigane vikumbo. Wewe kutwa nzima hakuna anaekugusa kwakuwa upo kwenye gari lako, full kiyoyozi, hata ukiambiwa dar joto familia nzima mnashangaa. Hebu tokeni huko mjichanganye kidogo
4. Pale ndio kituo cha kupatia namba za watoto wazuri ambao angalau utakuwa unauhakika kweli baba yake ana gari. Kwasie watoto wa uswazi huwa tunajivukisha hata mara kumi tukizisaka namba.
5.Wote tubugie harufu ya shombo, we nani ubaki garini. Tena ikibidi na madereva wazuiwe kufunga vioo wakibaki.
Haaahaa mkuu unatumia kadhia ya msongamamo kung'oa warembo.
 
Watanzania kweli kiboko, mkiambiwa hiyo ni kwa usalama wenu hamtaki mkipata ajali mnalalamika
 
1.Usalama wako unazingatiwa. Kuna wakati tumeshuhudia gari zikizama pale. Nguvu ya kumuokoa mhanga mmoja ni ndogo kuliko wengi.
2.Kuongeza mapato. Mkishuka wengine mkapita kwenye geti la abiria pale, mapato yanapanda. Kuliko mngejifungia kwenye gari halafu wote mkavuka kwa gharama za gari.
3.Angalau mara mojamoja tupigane vikumbo. Wewe kutwa nzima hakuna anaekugusa kwakuwa upo kwenye gari lako, full kiyoyozi, hata ukiambiwa dar joto familia nzima mnashangaa. Hebu tokeni huko mjichanganye kidogo
4. Pale ndio kituo cha kupatia namba za watoto wazuri ambao angalau utakuwa unauhakika kweli baba yake ana gari. Kwasie watoto wa uswazi huwa tunajivukisha hata mara kumi tukizisaka namba.
5.Wote tubugie harufu ya shombo, we nani ubaki garini. Tena ikibidi na madereva wazuiwe kufunga vioo wakibaki.
Nashukuru hii ya 1-2 nilikuwa sielewi y,lakini hizo sababu zngne zmenifanya ncheke hasa ya vikumbo
 
ndo maana hata ukiingia kwenye panton hata kama ni dereva unaambiwa ufungue mkanda na vioo
 
Mkuu. Huo ugumu wa kumwokoa mtu unatoka wapi. Kwani vioo vya gari si huwa vinashushwa?
Itakua ni mgeni mjini watu kibao wameshakufa miaka ya nyuma wakiwa kwenye magari baada ya kupitiliza na kuzama
 
Tupunguze ujuaji. Meli yenyewe ikizama, watu wote huondolewa kwenye cabin. Unapokaa ndani ya gari, pakitokea emergency wewe unaongeza ugumu wa uokozi.

Shuka mwenye toroli lako au nenda darajani, kule hakuna kushuka.
Mtoka pabaya haujatembea kufa hapa Tz hapa karibu tu kenya mombasa viko vivuko nne na kila kivuko limepangiwa taratibu vivuko viwili vinashughulikia magari na ndani ya hayo magari kuna watu na viwili vinashughulikia watumiaji wa miguu sijakuwambia misri,uk na Norway
 
Back
Top Bottom