singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Ndugu yangu ni ishara tosha kwamba watu hawaitaki CCM Kabisa wanaotangazwa ni wasanii kwenye ujio wa magufuli na hii yote ni kwa sababu CCM imezoea mizaha na usanii,bila diamond,na wapuuzi wenzake hakuna mkutano.Sisi kwetu huku baada ya kuona hakuna mtu kwenye mkutano wakaanza maonyesho ya nyoka nikacheka sana kweli CCM wamekaangika vzr sana ambaye hajaanza kufungasha mizigo yake shauri yake gari litamuacha.
Tumchague lowasa tuwaokoe twiga na tembo wanaotekea