Muziki mzuri kutoka kenya! diverse kenyans!

waltham

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
2,522
1,045
Watanzia wa JF are a funny lot. najua kwenu mtanzania lazima awe na ngozi nyeusi tititi! well in Kenya we have all sizes, shades and whatever! this musician parents were born in kenya and raised in kenya!!


povu ije sasa!!
Why do jf have to edit my post. Leave it he way it is! I don't want your edits!!!!grrrrr!!

 
Kwenye suala la muziki
Ulinganishe kenya na Tanzania!!!
Utakuwa unachekesha

Soma kwanza hii kutoka CNN
Siongezi lingine
f2245a16ec762a4a216120505587bb7c.jpg
 
Una chekesha wewe, moja ya nguzo zetu Tanzania ni kitokuwa na ubaguzi wa rangi, jinsia, au kabila. Tumefanya hivyo kwa vitendo. Kama tatizo ni wazungu kuimba au kuongea Kiswahili mbona wapo wengi tuu na wamejifunza hapa hapa Tanzania.



 
Ni vizuri sana kumuona anaimba kwa Kiswahili safi ni aibu sana kina Sammuel999 na wengine wengi (diverse Kenyans) lugha yetu ya Afrika Mashariki inawapa tabu, ila MK254 mwanaJF toka Kenya anastahili sifa kwa kuwa na Kiswahili safi.

Kwa ndugu zetu wengine wa Kenya pateni somo hili la lugha ya Kiswahili safi toka Tanzania na kwa kujifunza zaidi ingia ktk source ya videos

Swahili Tutorials - (live from Tanzania)

Source: growingopportunities
 
Ni vizuri sana kumuona anaimba kwa Kiswahili safi ni aibu sana kina Sammuel999 na wengine wengi (diverse Kenyans) lugha yetu ya Afrika Mashariki inawapa tabu, ila MK254 mwanaJF toka Kenya anastahili sifa kwa kuwa na Kiswahili safi.

Kwa ndugu zetu wengine wa Kenya pateni somo hili la lugha ya Kiswahili safi toka Tanzania na kwa kujifunza zaidi ingia ktk source ya videos

Swahili Tutorials - (live from Tanzania)

Source: growingopportunities


kiswahili chimbuka sio mtanzania na mkenya sio lazima aongee kama mtz. we do better in swahili than tz and we are published all over the world more than anyone else in swahili including on google!!
 
kiswahili chimbuka sio mtanzania na mkenya sio lazima aongee kama mtz. we do better in swahili than tz and we are published all over the world more than anyone else in swahili including on google!!
Loh ! Kweli akili ndogo inakusumbua hivi umeandika upumbafu gani hapa . stupid!!!!!
 
Loh ! Kweli akili ndogo inakusumbua hivi umeandika upumbafu gani hapa . stupid!!!!!

Mtanzania ni omba omba hapa Kenya. Ukwelii ukisemwa unaanza akili za Kula albino!!!
 
Back
Top Bottom