Muuza madafu: Mimi mwenyewe nilipomuona yule Komandoo nikagundua nimefanana naye, ila Siyo Mimi japo nacheza Kareti na Boxing!

Haina mjadala tena huyo ndio yeye mwenyewe captain ambae pia ni CDO. Ukifika cheo cha captain unaweza kupewa jukumu ambalo ukitaka kufanikisha kitu unakuwa ni disguise. Yupo ambae aliwahi kuact kama kocha wa mpira kilichofata ni historia, yupo aliact kama muuza dagaa kigoma, mafuta ya mawese na kadhalika kilichofata wazee wa magendo walisimulia. Najua wengi wako ni denial ni kawaida sana
Ila yule sio mimi.
 
Sishangai maana kama ndio akili za usalama wa taifa mnaowaona omnipotent sio ajabu nchi inazidi kudorora , wanachoweza ni kuilinda CCM ibaki madarakani.
 
Muuza madafu anapenda kucheza Kareti na Boxing.

Kula chuma hicho Mwaisaa
emoji23.png
emoji23.png
Anapiga zoezi la nguvu Kwa ajili ya kujilinda dhidi ya askari wa Jiji wanaowapokonya madafu yao
 
Vyenye tija tutakamatwa mkuu na hatuna pesa ya kumlipa wakili.

Mfano; ndg yako akipotea na kutangaza, serikali
inakwambua unaleta taaruki (taharuki) unawekwa nyuma ya geti.

Ukidai sukari bei juu na bango lako unatupiwa guruneti la moshi wa kuwasha uangaike nao.

Sasa serikali kupitia movie kama hizi huko ndani wanafurahi na ndipo wanafanya yao, sisi wanatuona like mazuzu yaliyopewa vipande vya kioo, nasi tukawapa dhahabu 🙂!.
😵‍💫
 
Back
Top Bottom