Muuza Machungwa

ha ha hapo unaweza kula machungwa ya hela yote
 
BONGO MUVI VILEE..HAPO ETI BINTI KATOKA KIJIJINI KAANZA KUUZA MACHUNGWA APATE HELA YA KUJIKIMU.
 
Hii inaweza kua Nigeria!!! Wazee wabunifu saana kwenye biashara!!! Na ukute hapo mdada ana degree yake na kufanya hivyo anavutia wanaotaka kuajili wachapakazi na wanaothamini kazi zao. Kuna mkaka alikua anauza vinywaji barabarani huku katinga suti na tai na kiatu... Ndo alipopata kazi na kwenda moja kwa moja kua meneja
 
Hapo inawezekana ukapata machungwa na vingine pia ubunifu mzuri huo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…