Anarudisha faida yake huyo Wenda hawakumuelimisha nni maana ya kanisa Wenda alijua ni mikoba anaweka akiba mwanzoni mwamwaka anachua vyake ,alafu kanisa linashitaki badala ya kumwombea maana na hilo ni pepo
hahahahahahaa. . Ni kweli ana shetwani ambae anamshawishi aibe, sasa si mumuombe na kukemea pepo ? Mbona mnaenda polisi?