Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,559
- 7,914
Unakubalioana na mimi Mtu mwenye sifa ya kuua watu wasio na hatia hana sifa za kuwa rais wa nchi yetu.
Wamama wajawazito na watoto waliuwawa na kusimikwa kesi za uongo za uhaini. Huku miili ikitekwa na polisi wapenda rushwa na wapumbavu.
Wamama wajawazito na watoto waliuwawa na kusimikwa kesi za uongo za uhaini. Huku miili ikitekwa na polisi wapenda rushwa na wapumbavu.