SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Muswada umepitishwa.
Vifungu vilivyoletwa kwa ajili ya marekebisho ni kwenye ibara ya 6, 12, 13, 17, 18 na 21.
Jumla ni vifungu sita.
TUmejikita kwamba mjadala mkubwa ulhus kifungu cha Mkuu wa Wilaya ambacho CHADEMA walitaka asiwemo badala yake awemo Mkurrgenzi wa Wilaya. Ni kweli kimeleta ubishi zaidi ya siku nzima kwani CCM hawakutaka kabisa Mkurugezi Wilaya, walitaka abaki Mkuu wa Wilaya.
Kuna wanaoona kuwa CCM wameshinda kifungu hiki. Lakini ukweli ni kwamba hawakushinda kwani haikuwa hoja yao iliyoletwa bali ilikuwa hoja ya kupinga kuondolewa kuu wa Wilaya na kuwekwa DC.
Hatimaye imekuwa kwamba kama ni hivyo basi wote DC na DED wawemo. Ukweli hapa ni kwamba CHADEMA hawajashindwa kwani waliyemtaka kawemo tena baada ya mgogoro mkubwa.
Hivyo, kwa kifungu hiki tunaweza kusema mechi ni draw. Kwa vifungu vingine vitano bado CHADEMA walifaulu.
Hii ina maana gani?
Maana yake ni kwamba CHADEMA wamepata 5+0.5=5.5
Hivyo kwa vifungu vile sita inakuwa 5.5/6=92%
Ni wanafunzi wangapi wanaoata hizo maks katika mtihani wowote duniani ambazo kwa kiwango cha grade kokote duniani hiyo ni "Distinction" au "A".
Kwa maana hiyo mjadala wa kile kimoja ilikuwa CHADEMA wanataka kupata 100%.
Mimi nadhani ni ushindi mnono kuliko malelezo.
Vifungu vilivyoletwa kwa ajili ya marekebisho ni kwenye ibara ya 6, 12, 13, 17, 18 na 21.
Jumla ni vifungu sita.
TUmejikita kwamba mjadala mkubwa ulhus kifungu cha Mkuu wa Wilaya ambacho CHADEMA walitaka asiwemo badala yake awemo Mkurrgenzi wa Wilaya. Ni kweli kimeleta ubishi zaidi ya siku nzima kwani CCM hawakutaka kabisa Mkurugezi Wilaya, walitaka abaki Mkuu wa Wilaya.
Kuna wanaoona kuwa CCM wameshinda kifungu hiki. Lakini ukweli ni kwamba hawakushinda kwani haikuwa hoja yao iliyoletwa bali ilikuwa hoja ya kupinga kuondolewa kuu wa Wilaya na kuwekwa DC.
Hatimaye imekuwa kwamba kama ni hivyo basi wote DC na DED wawemo. Ukweli hapa ni kwamba CHADEMA hawajashindwa kwani waliyemtaka kawemo tena baada ya mgogoro mkubwa.
Hivyo, kwa kifungu hiki tunaweza kusema mechi ni draw. Kwa vifungu vingine vitano bado CHADEMA walifaulu.
Hii ina maana gani?
Maana yake ni kwamba CHADEMA wamepata 5+0.5=5.5
Hivyo kwa vifungu vile sita inakuwa 5.5/6=92%
Ni wanafunzi wangapi wanaoata hizo maks katika mtihani wowote duniani ambazo kwa kiwango cha grade kokote duniani hiyo ni "Distinction" au "A".
Kwa maana hiyo mjadala wa kile kimoja ilikuwa CHADEMA wanataka kupata 100%.
Mimi nadhani ni ushindi mnono kuliko malelezo.