Muswada wa Katiba kupitishwa: CHADEMA wame-score asilimia 92

SubiriJibu

JF-Expert Member
Jun 26, 2009
1,803
1,863
Muswada umepitishwa.

Vifungu vilivyoletwa kwa ajili ya marekebisho ni kwenye ibara ya 6, 12, 13, 17, 18 na 21.

Jumla ni vifungu sita.

TUmejikita kwamba mjadala mkubwa ulhus kifungu cha Mkuu wa Wilaya ambacho CHADEMA walitaka asiwemo badala yake awemo Mkurrgenzi wa Wilaya. Ni kweli kimeleta ubishi zaidi ya siku nzima kwani CCM hawakutaka kabisa Mkurugezi Wilaya, walitaka abaki Mkuu wa Wilaya.

Kuna wanaoona kuwa CCM wameshinda kifungu hiki. Lakini ukweli ni kwamba hawakushinda kwani haikuwa hoja yao iliyoletwa bali ilikuwa hoja ya kupinga kuondolewa kuu wa Wilaya na kuwekwa DC.

Hatimaye imekuwa kwamba kama ni hivyo basi wote DC na DED wawemo. Ukweli hapa ni kwamba CHADEMA hawajashindwa kwani waliyemtaka kawemo tena baada ya mgogoro mkubwa.

Hivyo, kwa kifungu hiki tunaweza kusema mechi ni draw. Kwa vifungu vingine vitano bado CHADEMA walifaulu.

Hii ina maana gani?

Maana yake ni kwamba CHADEMA wamepata 5+0.5=5.5

Hivyo kwa vifungu vile sita inakuwa 5.5/6=92%

Ni wanafunzi wangapi wanaoata hizo maks katika mtihani wowote duniani ambazo kwa kiwango cha grade kokote duniani hiyo ni "Distinction" au "A".

Kwa maana hiyo mjadala wa kile kimoja ilikuwa CHADEMA wanataka kupata 100%.

Mimi nadhani ni ushindi mnono kuliko malelezo.
 
Muswada umepitishwa.

Vifungu vilivyoletwa kwa ajili ya marekebisho ni kwenye ibara ya 6, 12, 13, 17, 18 na 21.

Jumla ni vifungu sita.

TUmejikita kwamba mjadala mkubwa ulhus kifungu cha Mkuu wa Wilaya ambacho CHADEMA walitaka asiwemo badala yake awemo Mkurrgenzi wa Wilaya. Ni kweli kimeleta ubishi zaidi ya siku nzima kwani CCM hawakutaka kabisa Mkurugezi Wilaya, walitaka abaki Mkuu wa Wilaya.

Kuna wanaoona kuwa CCM wameshinda kifungu hiki. Lakini ukweli ni kwamba hawakushinda kwani haikuwa hoja yao iliyoletwa bali ilikuwa hoja ya kupinga kuondolewa kuu wa Wilaya na kuwekwa DC.

Hatimaye imekuwa kwamba kama ni hivyo basi wote DC na DED wawemo. Ukweli hapa ni kwamba CHADEMA hawajashindwa kwani waliyemtaka kawemo tena baada ya mgogoro mkubwa.

Hivyo, kwa kifungu hiki tunaweza kusema mechi ni draw. Kwa vifungu vingine vitano bado CHADEMA walifaulu.

Hii ina maana gani?

Maana yake ni kwamba CHADEMA wamepata 5+0.5=5.5

Hivyo kwa vifungu vile sita inakuwa 5.5/6=92%

Ni wanafunzi wangapi wanaoata hizo maks katika mtihani wowote duniani ambazo kwa kiwango cha grade kokote duniani hiyo ni "Distinction" au "A".

Kwa maana hiyo mjadala wa kile kimoja ilikuwa CHADEMA wanataka kupata 100%.

Mimi nadhani ni ushindi mnono kuliko malelezo.
Chadema is very organised!!
 
binafsi nimependezwa sana hoja za CDM kupigania kuwepo kwa DED ukilinganisha na zile za CCM za kuwepo kwa DC
 
Ni ushindi kwa CDM kwa sababu hata hicho kifungu walichokuwa wanakililia wana CCM kwamba wawekwe ma DC kimekubaliwa kwa sharti kuwa kamati ndio ina nguvu ya kukataa au kukubali kuwatumia hawa ma DC
 
Mi nadhani ushindi wa CDM ni zaidi ya hizo asilimia 92 kwasababu hoja zao kuhusu MA-DC na MA-DED zilikuwa grounded wakati CCM kama kawaida yao hoja zao zilikuwa za ushabiki wa Kichama. Pia CDM wameendelea kujipambanua kwa wananchi kwamba wapo kwa maslahi ya nchi na sio chama! Viva CDM!!
 
Muswada umepitishwa.

Vifungu vilivyoletwa kwa ajili ya marekebisho ni kwenye ibara ya 6, 12, 13, 17, 18 na 21.

Jumla ni vifungu sita.

TUmejikita kwamba mjadala mkubwa ulhus kifungu cha Mkuu wa Wilaya ambacho CHADEMA walitaka asiwemo badala yake awemo Mkurrgenzi wa Wilaya. Ni kweli kimeleta ubishi zaidi ya siku nzima kwani CCM hawakutaka kabisa Mkurugezi Wilaya, walitaka abaki Mkuu wa Wilaya.

Kuna wanaoona kuwa CCM wameshinda kifungu hiki. Lakini ukweli ni kwamba hawakushinda kwani haikuwa hoja yao iliyoletwa bali ilikuwa hoja ya kupinga kuondolewa kuu wa Wilaya na kuwekwa DC.

Hatimaye imekuwa kwamba kama ni hivyo basi wote DC na DED wawemo. Ukweli hapa ni kwamba CHADEMA hawajashindwa kwani waliyemtaka kawemo tena baada ya mgogoro mkubwa.

Hivyo, kwa kifungu hiki tunaweza kusema mechi ni draw. Kwa vifungu vingine vitano bado CHADEMA walifaulu.

Hii ina maana gani?

Maana yake ni kwamba CHADEMA wamepata 5+0.5=5.5

Hivyo kwa vifungu vile sita inakuwa 5.5/6=92%

Ni wanafunzi wangapi wanaoata hizo maks katika mtihani wowote duniani ambazo kwa kiwango cha grade kokote duniani hiyo ni "Distinction" au "A".

Kwa maana hiyo mjadala wa kile kimoja ilikuwa CHADEMA wanataka kupata 100%.

Mimi nadhani ni ushindi mnono kuliko malelezo.

weka basi vifungu vyote na uonyeshe kama source yake ni CDM.
ila sidhani kama ni sahihi kushabikia vyama kwenye hili la katiba ni vizuri yaangaliwe maslahi ya Taifa kama Mh Mbowe alivyoweka sawa
 
Hayati Mwalimu Nyerere aliwahi kuulizwa ni chama kipi cha upinzani kitaisumbua CCM baadaye, akajibu CDM. jibu hili liliwaduwaza sana CCM kwani walidhani angesema CUF , au NCCR. Wote mashaidi utabiri wake umetimia.
 
Hoja yako bomba, kuhusu maksi kwa sisteem ya tz sawa pia,
ila kuna sehemu nyingine
A+= 100,
A= 98-99,
A-= 95-97

Hata hivyo bravoooooo Chadema, chama cha ukombozi wa watanzania
 
Hatimaye leo Mswada wa Marekebisho
ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba
umepitishwa huku CHADEMA wakiwa
hawana cha maana walichokiambulia.
Bado Marais ndiyo wanaoteua Tume.
Bado Mawaziri wa Katiba na Sheria ndiyo wanaoteua Sekretarieti ya Tume.
Bado Wajumbe wa Bunge Maalum la
Katiba wamebaki kama walivyokuwa
katika Mswada wa awali. Bado Rais wa
Zanzibar ana nguvu zile zile katika
kusimamia maslahi ya Zanzibar kwenye mchakato huu. Bado Zanzibar ina
nafasi zake zote zilizoingizwa awali
katika kusimamia maslahi yake. Bado
kura ya maoni itasimamiwa na
kuendeshwa na Tume za Uchaguzi
zilizopo. Bado ni kosa la jinai kuingilia au kuizuia Tume ya Katiba kufanya kazi
zake. Sasa kununa na kususa kwa
CHADEMA kumeleta mabadiliko yepi ya
maana? CUF imedhihirisha tena
ukomavu wake wa tokea awali. Waje
tuwafunze siasa!
 
Trick! huku ndiko kuachwa kwenye mataa. Maana immediate boss wa DED ni DC!
 
Hatimaye leo Mswada wa Marekebisho
ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba
umepitishwa huku CHADEMA wakiwa
hawana cha maana walichokiambulia.
Bado Marais ndiyo wanaoteua Tume.
Bado Mawaziri wa Katiba na Sheria ndiyo wanaoteua Sekretarieti ya Tume.
Bado Wajumbe wa Bunge Maalum la
Katiba wamebaki kama walivyokuwa
katika Mswada wa awali. Bado Rais wa
Zanzibar ana nguvu zile zile katika
kusimamia maslahi ya Zanzibar kwenye mchakato huu. Bado Zanzibar ina
nafasi zake zote zilizoingizwa awali
katika kusimamia maslahi yake. Bado
kura ya maoni itasimamiwa na
kuendeshwa na Tume za Uchaguzi
zilizopo. Bado ni kosa la jinai kuingilia au kuizuia Tume ya Katiba kufanya kazi
zake. Sasa kununa na kususa kwa
CHADEMA kumeleta mabadiliko yepi ya
maana? CUF imedhihirisha tena
ukomavu wake wa tokea awali. Waje
tuwafunze siasa!
Hata kama Jussa ni Mungu wako lakini bado unalazimika kum-quote kwa kuweka bandiko lake!!!...Ndo nini sasa huo upupu rudisha facebook ulipoichukua unatuchafulia jamvi!
 
Hata kama Jussa ni Mungu wako lakini bado unalazimika kum-quote kwa kuweka bandiko lake!!!...Ndo nini sasa huo upupu rudisha facebook ulipoichukua unatuchafulia jamvi!

“When the hunted knows
how to hunt, the hunting game is no
more!”
 
Back
Top Bottom