MUST MUNAYUMBISHWA NA NINI

MUST MUNAYUMBISHWA NA NINI

chikoxalate

Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
62
Reaction score
22
Habari za majukumu wanajamvi, nmefanya application mbeya university of science and technology (MUST) na nimelipia application fee ila ni Siku ya tatu hakuna apdate yoyote kuonesha nimelipia. Nikiwapigia simu wanasema mtandao unasumbua, kwa yeyote mwenye uelewa na hili anisaidie nimekwama.
 
Kijan kuwa mpole matatizo yko tunayashughulikia
 
Habari za majukumu wanajamvi, nmefanya application mbeya university of science and technology (MUST) na nimelipia application fee ila ni Siku ya tatu hakuna apdate yoyote kuonesha nimelipia. Nikiwapigia simu wanasema mtandao unasumbua, kwa yeyote mwenye uelewa na hili anisaidie nimekwama.
umeambiwa network inasumbua sasa hapa utasaidiwa nini? nina mashaka na ufaulu wako
 
Back
Top Bottom