ACT KILIMANJARO
Member
- Apr 15, 2015
- 26
- 25
Taarifa zinasema baada ya Mussa Zungu kuona Mgombea ubunge wa NCCR-MAGEUZI jimbo la Ilala Nicolaus Clinton ni tishio kwake ameamua kumwekea Pingamizi usiku wa jana saa moja. Taarifa za awali zinasema Dogo ni tishio kwa Zungu kwa sababu hakuna Chama cha upinzani kinaweza kupigiwa kura na wana CCM wengi kama NCCR-MAGEUZI ambacho ni chama kilochoibuliwa juzi na watawala kwa ajili kuudhibiti upinzani.
Ikwembuke Jimbo hilo lina mgogoro wa ndani ya CCM baada ya CCM kumpendelea Zungu na kumuacha Sophia Mjema.
Ikwembuke Jimbo hilo lina mgogoro wa ndani ya CCM baada ya CCM kumpendelea Zungu na kumuacha Sophia Mjema.