GE2025 Mussa Zungu: Maandamano yaliyopangwa kufanyika Oktoba 29, hayatofanyika hawana ubavu huo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mgombea Ubunge jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu amewahimiza wafanyabiashara kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29 akihimiza kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika siku hiyo hayatofanyika kwani hawana ubavu huo.

Your browser is not able to display this video.
 
Mbogamboga walivyochanganyikiwa ndo kwanza Wana mobilize mandamano
 
Ni vyema tukaisubiri hiyo siku kuliko kuongea sana!
Mgombea Ubunge jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu amewahimiza wafanyabiashara kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29 akihimiza kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika siku hiyo hayatofanyika kwani hawana ubavu huo.

 
Drug dealer anatetea madili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…