DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Wakuu
====
Habari ya Khalid Aucho imeishia hapa?
Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien, Mussa Balla Conte (21) kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2028.
Conte, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Simba SC, ametua akitokea Tunisia na kupokelewa na viongozi wa Yanga SC kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba rasmi.
Nyota huyo anatajwa kuwa mmoja wa viungo wenye kipaji kikubwa na uwezo wa kucheza kama kiungo wa kati au mkabaji, na Yanga SC wanaamini atakuwa nyongeza muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu wa 2025/26.
====
Habari ya Khalid Aucho imeishia hapa?
Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien, Mussa Balla Conte (21) kwa mkataba wa miaka mitatu hadi Juni 2028.
Conte, ambaye pia alikuwa kwenye rada za Simba SC, ametua akitokea Tunisia na kupokelewa na viongozi wa Yanga SC kwa ajili ya mazungumzo ya mwisho kabla ya kusaini mkataba rasmi.
Nyota huyo anatajwa kuwa mmoja wa viungo wenye kipaji kikubwa na uwezo wa kucheza kama kiungo wa kati au mkabaji, na Yanga SC wanaamini atakuwa nyongeza muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu wa 2025/26.