Mzee Nondo
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 125
- 83
Ni ukweli usiopingika, Big up Cyprian Musiba
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema anayo orodha ya mafisadi wote waliotajwa katika ripoti ya kamati ya Dr Bashiru hivyo makada wakiendelea kumzingua atawataja wote hadharani.
Ameuliza, hamjui kuwa Vodacom ilikuwa mali ya CCM?!!...... Mnajua kwamba CCM ilikuwa na Tv yake lakini Nape, Kimbisa na Kinana wakauza mitambo?
Mmesahau kuwa Makamba alikuwa anauza kadi za CCM badala ya kugawa bure?!
Kwa upande wa Chadema amesema Mbowe anatumbua ruzuku na wale wenye ujasiri wa kuhoji anawapoteza na kuisingizia serikali.
Ni hayo kwa uchache
Maendeleo hayana chama!