number41
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,048
- 1,462
Hivi si kuna vodacom, Vodafone na safaricom yote hii si British company au?
Vodacom south hapo mwanzo walikua wenye kabla ya kuuza hisa kwa vodafone walikua na rangi ya blue na kijani na nembo ya dunia then vodafone akafika bei na kuifanya kua na nembo ya vodafone na rangi nyekundu ila hapo mwanzo bwana azizi na lowassa bongo ndo walikua wanamiliki hisa nyingi na mtt wa lowassa ndo alikua na kampuni ya shivacom utengenezaji wa vocha baadae ikagubikwa na na kashfa za vocha fake mara madeal mengi wakavunja mkataba ndo mana sasa hivi vocha uoni jina shivacom ni hayo kwenye kumbukumbu yangu sasa musiba anaweza kutusaidia wakina lowassa walipataje hisa hizo na ccm ilikuaje na umiliki wa vodacom tanzania na sio vodacom yote itakua tu akuweka maelezo vizur musiba atakua anazungumzia voda ile ya zamani yani kama airtel ni wahindi hao ila mwanzo ilikua na majina mengine kapita zein sijui nn musiba akirudi tena atakua na maelezo mazur tusimtukane ana kaukwel sema ajakaweka vizur alafu anachanganya na uongo sasa inabidi utumie kidg akili kuchambua na kuunga dot