huyu mzee ana uchu wa madaraka, kwanza kaitawala pakistan kwa muda mrefu, kaua watu wengi kaiharibu nchi, kakoswakoswa kupinduliwa mara nyingi lakini bado hajaridhika.
Sidhani kama mara hii atasalimika si ajabu atalipuliwa kama alivyomlipua Benazir Bhutto..