MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,314
- 25,454
Safi kabisa nimeipenda ,fanya Kama unamtaja kwa I'd yake huyo bwana nimcheke haswa .Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki
Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo
Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi
MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .
Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela
Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.
Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
Upo vizuri mkuu, ila avatar yako imekaa kiutani utani sana ni ngumu kuamini ulichoandika.Mimi siwezi kumfanyia binadam mwenzangu ukatili wa aina hii, hata kama alinitenda mabaya.
Hata vitabu vinasema utalipwa kwa kadri ulivotenda. Jamaa alichofanya hata mimi ningefanya.Kuna watu ukiwazingua hawamuachii Mungu.
Watachezeana hivyo hivyo atamsubiria mwaka mmoja na yeye atampiga.hapa ile law of karma itafanyaje kazi?? mbona kama ww zimezidi gharama mara nyingi? kwamba na ww tarajia hizo gharama zilizozid zikupate au ndio mwamba kishalipia kosa lake?
OohoooHapa jf kuna haya mambo sana
Hata mim niliwah walaghai jamaa kuhusu mradi fulani kuwa napiga hela mpaka jamaa mmoja akavutiwa kunitembelea aje ajifunze wakat hakuna chochote
Inaitwa piga nikupigeWatachezeana hivyo hivyo atamsubiria mwaka mmoja na yeye atampiga.
Ubaya UbwelaJino kwa jino.
Miaka 10 iliyo pita, kuna dada alikua ananichukia sana hapa Jf sababu ya avatar...πUpo vizuri mkuu, ila avatar yako imekaa kiutani utani sana ni ngumu kuamini ulichoandika.
Fisi wewe ulikomba buchaπ€£Miaka 10 iliyo pita, kuna dada alikua ananichukia sana hapa Jf sababu ya avatar...π
Basi ikatokea tukakutana kwenye gathering flani ya Jf members, sasa tukajikuta tupo karibu sana (hapa wakubwa wamenielewa)...π baada ya kuwa karibu kwa miezi kama 6 ndipo akaja akagundua kwamba Ushimen ndio mimi...π
Kwa leo naomba niishie hapa...π
Tatizo lako wewe ni mtu wa chaiMiaka 10 iliyo pita, kuna dada alikua ananichukia sana hapa Jf sababu ya avatar...π
Basi ikatokea tukakutana kwenye gathering flani ya Jf members, sasa tukajikuta tupo karibu sana (hapa wakubwa wamenielewa)...π baada ya kuwa karibu kwa miezi kama 6 ndipo akaja akagundua kwamba Ushimen ndio mimi...π
Kwa leo naomba niishie hapa...π
Mbona mbaya hiyo!!Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki
Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo
Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi
MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .
Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela
Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.
Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee
Kisasi ni haki ila kusamehe ni bora zaidi.Habari muda wadau bila shaka mko salama na wenye udhaifu Mungu awape wepesi
Leo nawaletea mkasa ambao uliniumiza Sana Moyo .
Miaka kadhaa iliopita nilikuepo mkoani Mbeya
Shughuli zangu zilikua ufugaji samaki na kilimo cha strawberry
Nikakutana na mdau mmoja hapa jamii forum akahitaji mbegu za samaki
Tukakubaliana gharama nikaandaa mzigo nikapanda Costa mpk Uyole hapo nakea kiwira
Na hapo uyole ndo sehem tuopatana kuonana
Badda ya kufika na kumpa Taarifa akasema sawa nakuja
Nilikaa kwa masaa manne hakupokea tena simu zangu wala kujibu ujumbe nika mcheki WhatsApp yupo online namtumia ujumbe unatia bluetick lkn hajibu. Kwa kifupi alinipotezea nilipata hasara ya laki moja lkn nikasema sawa
Nilipanga kulipa kisasi japo kwa kuchelewa lkn niliendelea kumtafuta hakunijibu
Baada ya miezi sita nikampigia kwa namba nyengine nikamuuliza kama naweza kupata mbegu za samaki akasema zipo
Nilimuuliza kwasababu ktk kipindi alichonitia hasara niligundua naye ni mtu anaefanya shughuli kama ya kwangu kwahio aliamua kunikomoa hakua na nia ya kuhitaji mbegu hizo
Kwahio baada ya kumuuliza akajibu ndio nikaweka oda ya vifaranga vya samaki 3000 . Sawa na laki tisa(900,000)
Nikamwambia nipo kyela nikamtumia 15,000 hii kwaajili ya mifuko ya kubebea hao viumbe. Hapo ndo akazidi kuingia laini
Nkamwambia akodishe Noah ntalipa Mimi ili mbegu hizo na chakula cha kuanzia vikae vzr akasema sawa
Siku inayofuata saa saa tisa mchana akanipa Taarifa kua washaanza Safari
Na gharama za gari nilishazikubali kwa maelewano wakifika ntalipa pesa yao
Sasa ili kuthibitisha kuwa ni kweli anakuja nikamuambia ukifika kiwira Kuna bahasha yangu utaichukua uje nayo akasema sawa
Nikaandaa karatasi iliosemeka hivi
MIMI ni yule jamaa ulieniambia unataka mbegu za samaki nkaja uyole halafu ukanipotezea nawewe onja machungu .
Nikaweka ndani ya bahasha nikampa kijana akaenda nayo mpk kwenye soko la kiwira maarufu Tandale nikampa namba ya simu wakawasiliana
Walivyofika akamkabidhi na gari ikaondoka kulekekea kyela
Walivyofika kyela nikamwambia nendeni pale kwenye mtaa ambao Kuna mashine za kukoboa mpunga Kuna dogo anakuja kiwachukua
Na hapo muda ulikua ushaenda Sana.
Nikazima simu kwanza baada ya dk 5 wakampigia yule kulijana aliewapa bahasha hakupokea
Nikawasha simu yangu nikawapigia jamaa alivyopokea tu nkamwambia bro ile bahasha unayo? Akajibu ndio nikamwambia fungua uisome inamaelekezo
Baada ya dk 2 jamaa ananipigia simu analia
Hapo roho yangu ikawa nyeupeee