muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 15,284 13,838 Jan 19, 2017 #4 Kulikuwa na haraka yoyote kuliangusha?,panaweza kukaa hivyo muda mrefu bila kujengwa..
kadoda11 JF-Expert Member Jan 6, 2011 21,453 20,745 Jan 19, 2017 Thread starter #5 muhomakilo jr said: Kulikuwa na haraka yoyote kuliangusha?,panaweza kukaa hivyo muda mrefu bila kujengwa.. Click to expand... haina shida kama patakaa mda mrefu bila kujengwa. watapatumia kuwa chaka au hifadhi ya machokoraa, machangudoa,wezi,omba omba na vichaa wanao zurula hovyo mjini.
muhomakilo jr said: Kulikuwa na haraka yoyote kuliangusha?,panaweza kukaa hivyo muda mrefu bila kujengwa.. Click to expand... haina shida kama patakaa mda mrefu bila kujengwa. watapatumia kuwa chaka au hifadhi ya machokoraa, machangudoa,wezi,omba omba na vichaa wanao zurula hovyo mjini.