Kama wanaume wa sinza na kinondoni. Ukiwaona utajua mkurugenzi fulani kumbe dalali wa magari na utapeli ndio kazi zao.Matapeli na watu wengi waovu wanapenda kuvaa vizur siku hizi usiamin mtu kwa kuangalia mavazi tu
Kweli kabisa, umaridadi una gharama jamani, tunatamani sana kutokelezea lkn mifuko mitupuVery good point.. ila pesa inahusika sana hapa
MUONEKANO
Muonekano wako ni muhimu sana katika haya maisha yetu ya sasa. Kuvaa kwako ni muhimu sana na kunaongeza thamani ya utu wako. Kuna watu wanavaa tu ili mradi wamevaa lakini kuvaa vizuri kunakujengea mambo mengi sana kama kijiamini, kuheshimiwa na kuaminiwa. Kwa sababu mtu anakuamini kwa kiasi fulani kutokana na ulivyovaa na kupendeza hivyo basi rafiki yangu jitahidi kuvaa na kupendeza zaidi ili baadhi ya mambo yako yakae sawia.
UWEZEKANO
Muonekano kuongeza uwezekano ipo hivi:- Kutokana na kuvaa kwako na kupendeza vizuri kunakupa uwezekano wa jambo fulani katika kulifanya. Mfano unaenda kukuopa pesa, mtu cha kwanza ataangalia muonekano wako na ndipo atajua una uwezo wa kulipa au la. Hata ukikutana na mwanamke njiani tu na ukataka kumtongoza / ukamtongoza cha kwanza ataangalia muonekano wako kwanza jinsi ulivyovaa na kutokezea [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji117] Kumbuka unapotoka nje au unatoka na rafiki zako DRESS TO KILL aaaah vaa pendeza utajiamini na kujikubaliiiii [emoji94]
True Story[emoji118]
Mhhhh[emoji849]Jamani kwa nyie Maskini ni sawa tu mfanye ivo!! ila sisi Matajiri kwakweli ni shida!! ukivaa vizuri tu watu haoooo!! wanakunyenyekea saaana! Makanisani humo! lkn nikivaa kicheck Bob na kanda mbili raha sana watu hawanijui kabisaa mpaka foleni napiga!
Misibani/vikaoni nakaa kwa uhuru sana!! navotaka hakuna ile kuniheshimu saaaana! ila wachache wanastukia lkn pia wanadhania ni mdogo wangu tu huyo! au wana sema umefafanana sana na Predejsheee! smaki.
Nawambia tu Duniani wawili wawili! basiiii....ila wakinijua basi nakwambia LIFT hizo ntazopewa njiani humo si za Dunia hii!
Umefanya nkumbuke kipindi flan hivi aisee yaan stress kitu mbaya sana nlikuwa sijal hata nkawa npo kama sipoYani mimi ilikuwa ni stress tu, nilikuwa na stress kipindi hiko hatari...Nikakata nywele na sikuwa nazichana...Kwa kifupi niligeuka chokoraa kimuonekano!