Mungu wa UKAWA bado anaishi

Mungu wa UKAWA bado anaishi

japanese

Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
13
Reaction score
16
Hakika ukawa ni mpango wa mungu kwa watanzania na siku si chache mpango huu unakwenda kutimia.

Tokea vuguvugu la ukawa lianze kuna mengi yametokea lakini kadri siku zinavyoenda ndio umoja huu unazidi kuimarika CCM na mawakala wake kwa nyakati mbalimbali wamejitahidi sana kuhujumu umoja huu lakini wamegonga mwamba,wametumia fedha nyingi kununua wanaukawa lakini wameshindwa.

CCM kuna siri kubwa inawatia hofu juu ya UKAWA ,moja ni kwamba katika chaguzi nyingi walifanikiwa kushinda kirahisi vyama vya upinzani kwa kuwa havikuwa na umoja,pili umma ulishindwa kujenga imani kwa vyama vya upinzani ukiamini kwamba upinzani hakuna watu makini wanaoweza kusukuma mbele matarajio yao,na fikra hizi potofu zilijengwa na ccm kwa miaka mingi.

Mwaka huu propaganda za CCM zimegonga mwamba kwani kwa Mara ya kwanza katika siasa za Tanzania bara watu wakubwa ndani ya CCM na serikali wameasi siasa za ccm na kujiunga na siasa za upinzani tena wakigombea nafasi nyeti ya uraisi,jambo hili limeongeza imani kubwa kwa wananchi na kufuta mawazo ya kuwa upinzani hawana uwezo wa kuongoza nchi,hivi sasa ni nadra sana kimsikia kiongozi tokea ccm akitamka kwa kujiamini kuwa upinzani hauwezi kuongoza nchi.

Na badala yake wanaccm na mgombea wao wa uraisi wanatumia muda mwingi kumnanga mgombea wa ukawa kuliko kuelezea Sera zao na mambo mengine ambayo mgombea wao anayemaliza muda wake aliwahidi wananchi kama vile maisha bora kwa kila mtanzania,katiba mpya, ujenzi wa reli ya kati ,meli mpya kanda ya ziwa,mahakama ya kaghi nk.
 
Huyo mungu wa Ukawa atakuwa dhaifu sana amekubali Chadema kiwe chama cha upinzani miaka yote.
 
mtasema sana lakini niwaambie ninyi wa Lumumba mtakuja kufa kihoro siku mkisikia kwamba Lowasa ameshinda
 
Hakika ukawa ni mpango wa mungu kwa watanzania na siku si chache mpango huu unakwenda kutimia.

Tokea vuguvugu la ukawa lianze kuna mengi yametokea lakini kadri siku zinavyoenda ndio umoja huu unazidi kuimarika CCM na mawakala wake kwa nyakati mbalimbali wamejitahidi sana kuhujumu umoja huu lakini wamegonga mwamba,wametumia fedha nyingi kununua wanaukawa lakini wameshindwa.

CCM kuna siri kubwa inawatia hofu juu ya UKAWA ,moja ni kwamba katika chaguzi nyingi walifanikiwa kushinda kirahisi vyama vya upinzani kwa kuwa havikuwa na umoja,pili umma ulishindwa kujenga imani kwa vyama vya upinzani ukiamini kwamba upinzani hakuna watu makini wanaoweza kusukuma mbele matarajio yao,na fikra hizi potofu zilijengwa na ccm kwa miaka mingi.

Mwaka huu propaganda za CCM zimegonga mwamba kwani kwa Mara ya kwanza katika siasa za Tanzania bara watu wakubwa ndani ya CCM na serikali wameasi siasa za ccm na kujiunga na siasa za upinzani tena wakigombea nafasi nyeti ya uraisi,jambo hili limeongeza imani kubwa kwa wananchi na kufuta mawazo ya kuwa upinzani hawana uwezo wa kuongoza nchi,hivi sasa ni nadra sana kimsikia kiongozi tokea ccm akitamka kwa kujiamini kuwa upinzani hauwezi kuongoza nchi.

Na badala yake wanaccm na mgombea wao wa uraisi wanatumia muda mwingi kumnanga mgombea wa ukawa kuliko kuelezea Sera zao na mambo mengine ambayo mgombea wao anayemaliza muda wake aliwahidi wananchi kama vile maisha bora kwa kila mtanzania,katiba mpya, ujenzi wa reli ya kati ,meli mpya kanda ya ziwa,mahakama ya kaghi nk.
UKAWA na CHADEMA yao ni shetani, wanatumia mapepo. Mungu wetu mkuu anaisimamia CCM na lazima ishinde! Shetani UKAWA na CHADEMA hawezi kushinda kiti cha urais hata iweje, maana Mungu wetu mkuu hajawahi kushindwa najambo. Rais ni Dr Magufuli
 
Tafadhalini wana JF, muandikapo jina "Mungu" ni lazima up ulianze kwa herufi kubwa! Kuna tofauti kubwa sana kati ya Mungu na mungu. beware
 
Hakika ukawa ni mpango wa mungu kwa watanzania na siku si chache mpango huu unakwenda kutimia.

Tokea vuguvugu la ukawa lianze kuna mengi yametokea lakini kadri siku zinavyoenda ndio umoja huu unazidi kuimarika CCM na mawakala wake kwa nyakati mbalimbali wamejitahidi sana kuhujumu umoja huu lakini wamegonga mwamba,wametumia fedha nyingi kununua wanaukawa lakini wameshindwa.

CCM kuna siri kubwa inawatia hofu juu ya UKAWA ,moja ni kwamba katika chaguzi nyingi walifanikiwa kushinda kirahisi vyama vya upinzani kwa kuwa havikuwa na umoja,pili umma ulishindwa kujenga imani kwa vyama vya upinzani ukiamini kwamba upinzani hakuna watu makini wanaoweza kusukuma mbele matarajio yao,na fikra hizi potofu zilijengwa na ccm kwa miaka mingi.

Mwaka huu propaganda za CCM zimegonga mwamba kwani kwa Mara ya kwanza katika siasa za Tanzania bara watu wakubwa ndani ya CCM na serikali wameasi siasa za ccm na kujiunga na siasa za upinzani tena wakigombea nafasi nyeti ya uraisi,jambo hili limeongeza imani kubwa kwa wananchi na kufuta mawazo ya kuwa upinzani hawana uwezo wa kuongoza nchi,hivi sasa ni nadra sana kimsikia kiongozi tokea ccm akitamka kwa kujiamini kuwa upinzani hauwezi kuongoza nchi.

Na badala yake wanaccm na mgombea wao wa uraisi wanatumia muda mwingi kumnanga mgombea wa ukawa kuliko kuelezea Sera zao na mambo mengine ambayo mgombea wao anayemaliza muda wake aliwahidi wananchi kama vile maisha bora kwa kila mtanzania,katiba mpya, ujenzi wa reli ya kati ,meli mpya kanda ya ziwa,mahakama ya kaghi nk.
Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu..........
 
Hakika ukawa ni mpango wa mungu kwa watanzania na siku si chache mpango huu unakwenda kutimia.

Tokea vuguvugu la ukawa lianze kuna mengi yametokea lakini kadri siku zinavyoenda ndio umoja huu unazidi kuimarika CCM na mawakala wake kwa nyakati mbalimbali wamejitahidi sana kuhujumu umoja huu lakini wamegonga mwamba,wametumia fedha nyingi kununua wanaukawa lakini wameshindwa.

CCM kuna siri kubwa inawatia hofu juu ya UKAWA ,moja ni kwamba katika chaguzi nyingi walifanikiwa kushinda kirahisi vyama vya upinzani kwa kuwa havikuwa na umoja,pili umma ulishindwa kujenga imani kwa vyama vya upinzani ukiamini kwamba upinzani hakuna watu makini wanaoweza kusukuma mbele matarajio yao,na fikra hizi potofu zilijengwa na ccm kwa miaka mingi.

Mwaka huu propaganda za CCM zimegonga mwamba kwani kwa Mara ya kwanza katika siasa za Tanzania bara watu wakubwa ndani ya CCM na serikali wameasi siasa za ccm na kujiunga na siasa za upinzani tena wakigombea nafasi nyeti ya uraisi,jambo hili limeongeza imani kubwa kwa wananchi na kufuta mawazo ya kuwa upinzani hawana uwezo wa kuongoza nchi,hivi sasa ni nadra sana kimsikia kiongozi tokea ccm akitamka kwa kujiamini kuwa upinzani hauwezi kuongoza nchi.

Na badala yake wanaccm na mgombea wao wa uraisi wanatumia muda mwingi kumnanga mgombea wa ukawa kuliko kuelezea Sera zao na mambo mengine ambayo mgombea wao anayemaliza muda wake aliwahidi wananchi kama vile maisha bora kwa kila mtanzania,katiba mpya, ujenzi wa reli ya kati ,meli mpya kanda ya ziwa,mahakama ya kaghi nk.

Dawa sio kuwauwa wanaowapinga. Tutawakumbuka chacha wangwe na mch Mtikila.
 
UKAWA na CHADEMA yao ni shetani, wanatumia mapepo. Mungu wetu mkuu anaisimamia CCM na lazima ishinde! Shetani UKAWA na CHADEMA hawezi kushinda kiti cha urais hata iweje, maana Mungu wetu mkuu hajawahi kushindwa najambo. Rais ni Dr Magufuli
Kumbe Mungu wenu mnamkumbuka yanapowafika shingoni!!
 
Mmeanza kudeal na wabaya wenu mkidhani mnaenda Ikulu, labda mtuue sote watanzania wazalendo
 
Mmeanza kudeal na wabaya wenu mkidhani mnaenda Ikulu, hilo halipo labda mtuue sote watanzania wazalendo
 
Hakika ukawa ni mpango wa mungu kwa watanzania na siku si chache mpango huu unakwenda kutimia.

Tokea vuguvugu la ukawa lianze kuna mengi yametokea lakini kadri siku zinavyoenda ndio umoja huu unazidi kuimarika CCM na mawakala wake kwa nyakati mbalimbali wamejitahidi sana kuhujumu umoja huu lakini wamegonga mwamba,wametumia fedha nyingi kununua wanaukawa lakini wameshindwa.

CCM kuna siri kubwa inawatia hofu juu ya UKAWA ,moja ni kwamba katika chaguzi nyingi walifanikiwa kushinda kirahisi vyama vya upinzani kwa kuwa havikuwa na umoja,pili umma ulishindwa kujenga imani kwa vyama vya upinzani ukiamini kwamba upinzani hakuna watu makini wanaoweza kusukuma mbele matarajio yao,na fikra hizi potofu zilijengwa na ccm kwa miaka mingi.

Mwaka huu propaganda za CCM zimegonga mwamba kwani kwa Mara ya kwanza katika siasa za Tanzania bara watu wakubwa ndani ya CCM na serikali wameasi siasa za ccm na kujiunga na siasa za upinzani tena wakigombea nafasi nyeti ya uraisi,jambo hili limeongeza imani kubwa kwa wananchi na kufuta mawazo ya kuwa upinzani hawana uwezo wa kuongoza nchi,hivi sasa ni nadra sana kimsikia kiongozi tokea ccm akitamka kwa kujiamini kuwa upinzani hauwezi kuongoza nchi.

Na badala yake wanaccm na mgombea wao wa uraisi wanatumia muda mwingi kumnanga mgombea wa ukawa kuliko kuelezea Sera zao na mambo mengine ambayo mgombea wao anayemaliza muda wake aliwahidi wananchi kama vile maisha bora kwa kila mtanzania,katiba mpya, ujenzi wa reli ya kati ,meli mpya kanda ya ziwa,mahakama ya kaghi nk.

NDOTO za mchana ni mbaya sana... na watu wa kaskazini mmegoma kuaamini kunachotokea kuwa watanzania wameshtuka ..UKAWA mungu wenu ni yupo hai anaishi ubungo karibu na kituo cha basi mzee wa MISUKULE...
Tanzania Nzima washabiki wa UKAWA wamebaki WAMACHAME na watu wa makabila mengine machache waliokopeshwa boda boda wengi wao wakiwa ni majambazi wazoefu ambao wamekuwa wanazitumia kupora mali mitaani na kwenye mabenki kwa ajili ya kuchangia shughuli za chama...
Ndoto zangu zinakupeleka pabaya hata hauoni mambo yanavyo wabadilikia hata moshi mjini na Arusha...wapenda amani wa hii miji miwili iliyoathiriwa na CHADEMA kwa miaka zaidi ya 10...wana hamu ya kurudi kundini... Pole sana endeleeeni kujiandaa na maandamano na kuleta vurugu..... MAGUFULI raisi wa AMANI na umoja wa watanzania!
 
Back
Top Bottom