Guevara Jr
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 300
- 811
Pamoja na maisha ya bata na mvinyo ila bado Malaika walimpinga Baba wa Mbinguni na wanafanya hivyo hadi leo hii.
Upinzani hauwezi kufa, watakufa watu ila upinzani utabaki milele maana ile ni spirit au fikra za kimabadiliko zilizo ndani mwao.
Upinzani hauwezi kufa, watakufa watu ila upinzani utabaki milele maana ile ni spirit au fikra za kimabadiliko zilizo ndani mwao.