The Father of All JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 10,995 Reaction score 13,512 Nov 3, 2025 #1 Kama ulivyoumba shetani, sina shaka. Pia, uliumba Ida Amina Mama. Je, tulikukosea nini wakati hatukugeuzana kama wale ulio 'washushia' dini?
Kama ulivyoumba shetani, sina shaka. Pia, uliumba Ida Amina Mama. Je, tulikukosea nini wakati hatukugeuzana kama wale ulio 'washushia' dini?
Jumlisha JF-Expert Member Joined Jul 10, 2022 Posts 2,012 Reaction score 4,014 Nov 3, 2025 #2 Dah inaumiza sana kwanini sisi tu
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,211 Reaction score 99,963 Nov 3, 2025 #3 Unaua vijana wanaotafuta kesho yao? Na sasa unataka Suluhu? Mtakufa kifo kibaya
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,201 Reaction score 185,495 Nov 3, 2025 #4 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw
H Hamatan JF-Expert Member Joined Nov 10, 2020 Posts 6,587 Reaction score 15,258 Nov 5, 2025 #5 Ni aheri mwanamke asingelizaliwa. Kuzaliwa kwake imekuwa ni majonzi ya wanadamu wengi.