The mediator
Member
- Jun 15, 2011
- 14
- 5
Wapendwa wananchi wenzangu wa nchi yetu ya Tanzania, napenda kuwaomba nami niwe mmoja wa familia hii nzuri na yenye busara tele. Naamini nitajifunza mengi sana kutoka kwenu. Naomba msaada wenu pale ninapokosea na mnirekebishe ili na mimi niweze kuelimika kupitia familia hii ya JF.
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Tanzania