Ndo maana ninaona kuwa CCM, uwezo wao wa kufikiri umefikia kikomo, yaani WAMESHINDWA KABISA KUJUA TATIZO.... nashukulu lakini KWA KUSEMA """kazi kwenu""" mi niifikiri tupo pamoja kwenye hili??? Umekimbia tayari?? umekata tamaa HENGE??
Wakati makamba anaanza, CHADEMA ilikuwa na wastani wa viti 11 (kama sikosei unkichanganya na vya viti maalum) MIAKA MITANO ya uwepo wake kafanya chadema kuwa na wastani 400% ya viti vyake, hii inatia moyo kuwa for the next 5yrs, ataongeza wastani wa 400% ya viti 48 vyaa sasa... so aendelee kuwepo ni mwana mageuzi halisi.
Kama unayo hoja WEKA hapa, siyo kusema ni kuinadi CCM, pasi kufafanua.........
sawa kabisa mkubwa,kwa kumwacha aendelee ni mtaji wa CDM kwani amekwisha kisera na kiushawishi janja zake zote zimefahamika na wameshindwa kusoma alama za nyakati
sijui safari hii wataibua nini maana wameanzisha la udini, wake za watu lakini watanzania wako macho , kama udini ni ishue si waanzishe upagani kama Mzee wao Kingunge?