Matendo ya Mungu yalivyo:
someni maafa yaliyoletwa na Mungu:
1. GHARIKA : Mwanzo sura ya 6 hadi 10
2. SODOMA na GOMORA : Mwanza sura ya 11, 18, 19, 20.
Kanuni anazotumia kuangamiza:
a) Anaangalia kusudi lake.
b) Anatoa taarifa mapema.
c) Anatoa njia ya kuokokea.
d) Anabagua waovu na wema.
Matukio ya sasa ni ishara kwamba ufalme wa MUNGU unakaribia; Luka 21: 11, 31.
Inasikitisha sana kwa upande mmoja, lakini ni faraja kwa upande mwingine.
Hivyo Mungu muumba wa vitu vyote, hawezi kuharibu kazi zake kikatili namna hii.
Habari ndio hiyo