Keagan Paul
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 500
- 3,076
rr
Mungu ndiye kasababisha hiyo ajali?Mungu anataka kugundua nini kwetu? Kuna research gan ambayo anafanya hadi sasa hajamaliza?
Maandiko yanasema hasababishi mabaya, ila anaruhusu yatokee. God has so much to answer siku hiyo. The pain he's inflicted to us is unbearable.Mungu ndiye kasababisha hiyo ajali?
Umevimbiwa Sasa unajambajamba tuJuzi tulikuwa kwenye Msiba kwa Mrema,
Wakati watoto wake na ndugu zake wanamsindikiza kwenda kumzika Kijijini kwao, tukasikia wamepata ajali Korogwe na watu 17 wamefariki hapo hapo.
Leo vifo vimeongeza hadi kufikia 20.
Ndugu wa kule Kijijini waliokuwa na uchungu wakisubiri mwili wa Mrema pekee, sasa watapokea miili 20, Uchungu wake ukoje?
Najiuliza kwa haya machungu yote ambayo mwanadamu anapitishwa, tena mwanadamu aliletwa hapa duniani bila ridhaa yake, halafu anapitishwa kwenye machungu haya.
Mungu anataka kugundua nini kwetu? Kuna research gan ambayo anafanya hadi sasa hajamaliza?
Tunaambiwa Mungu anafahamu kila kitu cha sasa na baadaye.Mungu ndiye kasababisha hiyo ajali?
Binadamu mnataka mjue kila kitu haya
Kuna namna nyingi za kuitwa kwenda mbinguni, hao waliofariki wameitwa kwenda mbinguni, kifo ni kifo tu iwe kupigwa risasi, iwe kupewa sumu ama kulala na usiamke tena, vyote hivyo ni vifo.Maandiko yanasema hasababishi mabaya, ila anaruhusu yatokee. God has so much to answer siku hiyo. The pain he's inflicted to us is unbearable.
Mkuu naona unataka kumchunguza MUNGU kama wanasayansi,wengine eti humsaidia hadi kutoa hukumu!Juzi tulikuwa kwenye Msiba kwa Mrema,
Wakati watoto wake na ndugu zake wanamsindikiza kwenda kumzika Kijijini kwao, tukasikia wamepata ajali Korogwe na watu 17 wamefariki hapo hapo.
Leo vifo vimeongeza hadi kufikia 20.
Ndugu wa kule Kijijini waliokuwa na uchungu wakisubiri mwili wa Mrema pekee, sasa watapokea miili 20, Uchungu wake ukoje?
Najiuliza kwa haya machungu yote ambayo mwanadamu anapitishwa, tena mwanadamu aliletwa hapa duniani bila ridhaa yake, halafu anapitishwa kwenye machungu haya.
Mungu anataka kugundua nini kwetu? Kuna research gan ambayo anafanya hadi sasa hajamaliza?
Na wewe umekuwa Atheist siku hizi?Naomba ujibu HOJA YAKE.
#YNWA
Matendo ya Mungu si ya mwanadamuJuzi tulikuwa kwenye Msiba kwa Mrema,
Wakati watoto wake na ndugu zake wanamsindikiza kwenda kumzika Kijijini kwao, tukasikia wamepata ajali Korogwe na watu 17 wamefariki hapo hapo.
Leo vifo vimeongeza hadi kufikia 20.
Ndugu wa kule Kijijini waliokuwa na uchungu wakisubiri mwili wa Mrema pekee, sasa watapokea miili 20, Uchungu wake ukoje?
Najiuliza kwa haya machungu yote ambayo mwanadamu anapitishwa, tena mwanadamu aliletwa hapa duniani bila ridhaa yake, halafu anapitishwa kwenye machungu haya.
Mungu anataka kugundua nini kwetu? Kuna research gan ambayo anafanya hadi sasa hajamaliza?
Na wewe umekuwa Atheist siku hizi?
Vifo hivyo vimesababishwa na uzembe wa dereva (fuso).Kwanini anaacha tunaangamia kwa vitu ambavyo anaweza kuvizuiya..?
Kuna namna nyingi za kuitwa kwenda mbinguni, hao waliofariki wameitwa kwenda mbinguni, kifo ni kifo tu iwe kupigwa risasi, iwe kupewa sumu ama kulala na usiamke tena, vyote hivyo ni vifo.
Tunapaswa tuwe tayari wkt wowote maana hakuna aijuaye siku ya kufa.
Heri wafu wafao katika Bwana.
Mkuu naona unataka kumchunguza MUNGU kama wanasayansi,wengine eti humsaidia hadi kutoa hukumu!