Mungu akamuuliza"unacheka nn".

Mungu akamuuliza"unacheka nn".

Joined
Aug 25, 2013
Posts
27
Reaction score
6
Basi lenye watu ishirini wenye sura mbaya lilipata ajali na abiria wake wote kufariki dunia.Walipofika mbinguni Mungu akawaambia"kwakua mliishi maisha ya kuchekwa kutokana na sura zenu,nitampa kila mmoja wenu nafasi moja ya kuniomba atakacho nami nitamtimizia".Wakwanza akaomba awe handsome,wapili akaomba awe mwanamke mzuri sana,waliofuata nao wakiomba kati ya vitu hivyo viwili.Lakini kuna mmoja wao alikua amesimama pembeni akicheka,Mungu akamuuliza "unacheka nn?",nae hakujibu chochote.Alibakia yy wa mwisho na alipoenda kuomba atakacho,Mungu akamwambia "nawe sema utakacho nikamilishe furaha yako". Jamaa akamwambia Mungu "naomba uwarudishie walionitangulia sura zao".
Je ww ungekua miongoni mwa wale 19 ungefanya nn?
 
Kwa inavonekana bada ya kupewa izo sura nzur cwangepewa chance yakuish tena!
Tchu tchu ningeuwa iyo m2!
Kumbe wafitini adi kwa sir god wapo ee..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom