Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Binti zako waambie wasome, kisha wafanye kazi za uzalishaji mali. Alafu ndoa itakuja tuu.
Kuliko ndoa ije ya kuumizana.

Wanaume tuache ku-cheat na kama tutafanya kufanya usaliti basi malipo yetu yawe vilevile tulivyofanya.
Hiyo ndio Haki
We mzee leo unazingua.

Kwahiyo umekosa kabisa ushauri wa kuwapa Wanawake zetu hadi uwape ushauri wa hivyo?
 
Hakuna dawa ya kumkomoa mume. Muhimu ukae naye chini umtulize.

Waoaji wamebaki wachache ujue
Mwanaume Msaliti anatulizwa kwa njia gani?
Maumivu yanatulizwa kwa kulea watoto wasio kuwa wenu.
 
We mzee leo unazingua.

Kwahiyo umekosa kabisa ushauri wa kuwapa Wanawake zetu hadi uwape ushauri wa hivyo?

Sipendi uonevu.
Sipendi mtu awe na haki ya kufanya uovu dhidi ya mwingine.

Sisi wanaume tumejipa uhalali wa kufanya baadhi ya uovu kwa kisingizio cha Uanaume. Huo ni uovu na sio HAKI.

Lazima tujenge jamii yenye kupenda haki. Kuwa tayari kuipokea na kuitumikia.
Sasa kama mwanaume anacheat kwa nini asilipwe sawasawa na matendo yake?

Hapo pointi kubwa ilikuwa wanaume tusicheat na sio niambiwe kuwa nisiwashauri wanawake wasilipe kisasi ilhali hiyo nsio Haki
 
Hivi unajua anayeoa siku zote ni Mwanaume?

We walishe matangopori wenzako
 
Unacheat Kwa makusudi mwanamke unajiathiri kisaikolojia mara mbili. Kwanza mumeo ka kucheat una mawazo, unakwenda kucheat Kwa makusudi hufurahii mashine inavyoingia, na bado umeokoteza mwanaume eti tu ulipe kisasi pumbafu. Wanaume tunapocheat sio kwamba hatuwapendi jamani, tunawapenda mnooo, ila mko wengiii. Wengine wataishije, hivi nyie hamuna huruma Kwa wenzenu?
 
Hakuna dawa ya kumkomoa mume. Muhimu ukae naye chini umtulize.

Waoaji wamebaki wachache ujue

Kila Muovu anadawa yake bila kujali ni mwanaume au mwanamke.

Kusema mwanaume hakomolewi wakati kila siku Watu wanapata Stroke, Presha, na wengine kujiua kisa wanawake ni kujidanganya na kudanganya wajinga.

Wangapi wanaingizwa kingi kwa kulea damu zisizozao? Hapo bado haujashikishwa adabu?,

Unachosema ni sawa na kipindi kile Watu walikuwa wanaamini mzungu Hafi na hawezi kukomolewa lakini ukweli ulidhihirika.

Ukishakuwa Muovu dawa yako ipo. Na dawa ya uovu ni uovu tuu.

Ndio maana hata kwenye dini, washambuliaji na waovu watamlazimisha Mungu kutenda uovu kuwa katili (kwa kuwachoma moto)
 

Wapo wengi si uoe wengi sasa?
Na kabla hujaoa umwambie hiyo wa kwanza kuwa wewe ni wale wa kuoa Wake wengi. Na sio umtapeli.
 
Wanawake wengi ni wanafiki kwa sababu ya umaskini. Kuwa tegemezi. Lakini kanuni hizi zinatumiwa na Wadada wote wanaojiweza.

Huwezi leta dharau alafu ukadai heshima
NA WALIO WENGI WANAOFUATA KANUNI HIZO, EIDHA NDO IPO MATATANI AU WASHAACHIKA TAYARI..!!
 
Haki bin Haki.
Ndio maana ninawaambiaga hawa mabinti wajitegemee. Ili kuondoa manyanyaso na utumwa.
Najua hujui thamani ya wazazi yaani baba na mama kuwa pamoja sababu wazazi wako walikuwa wazinzi wakaachana ukaenda kulelewa na bibi na babu.
Uliandika mwenyewe hapa hivyo akili zako za ki single mother.
 
Wanawake wengi wanaolewa kwasababu ya ugumu wa maisha, hawana uhakika wa kutoboa haya maisha bila mwanaume.
Aliyesema ndoa ni ajira hakukosea.



Huo ndio ukweli mchungu.

Asomae na afahamu.
 
Jomba una undugu wowote na huyu papa wa katoliki aliyeko madarakani? Siku hizi mada zako zinaendana na tamko alilotoa majuzi. Inaonekana wewe bado ni kinda bado hujafikia ya kuitwa mwanaume. Huu uzi ni ushahidi. Nikushauri wewe na wanawake wote wanaokuunga mkono kuwa HAKUNA MWANAMKE ANAYEWEZA KUSHINDA AKISHINDANA NA MUME WAKE. Labda kama talaka ndo ushindi.
 
Dawa ya moto sio lazima iwe moto inaweza kuwa maji pia...

..usikariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…